Dr. Slaa amfunika Lowassa kwenye media


Dk. Magufuli hasikiki kabisa, sijui kapotelea wapi
 
Miaka yote Dr Slaa mmemponda ,leo amekuwa lulu???????

Lowassa Kiboko!
 
tunakubali tuna fisadi ila ccm kuna mafisadi.

miim siamini mabadiliko kama tataletwa narais ( lowassa) ila yatalewa na mfumo mpya wa vyama vingi wenye kuwawezesha wote kushriki katika maendeleo, n siyo chama kimoja
CCM WAKIWA WAPINZNI ATAIKOSOA SANA SERIKAL YA LOWASSA NA LAZIMA KUTAUA NA WAZI WAKUTSHA KATIKA MAMBO MENGI
TUKUBAL TU, CCM WAWE WAPINZANI
 
Cheki gamba katika ubora wake!Hebu tueleze utafiti wako juu kuongelewa kwa lowassa na Magufuli,hao ndio wagombea!
 
Haya magamba hayajielewi,Leo lowassa akisema atoke tu CDM na kuacha siasa basi kwao atakuwa mfalme na shujaa,yatamsifia mpaka basi!
 
Tatizo chadema hawataki watu waongee ukweli hivi mkishika dola simta burn freedom of speech kamwe cwapi kura yangu wapinzani madictator na ntazunguka kwa ndugu na jamaa kuwahamasisha wawanyime kura.
 

Wenye macho tunaona kamfunika Magufuli,
kwanza Lowasa,Lowasa
Halafu Slaa,Slaa
Halafu...wengineo....Ili CINEMA iwe Tamu fanyeni pindu Slaa awe mgombea wa nyinyiem.
Teh teh......:bathbaby::smokin:
 
Sawa tumekusikia Lizaboni a.k.a Paul Makonda
 

CCM endeleeni kujitekenya wenyewe alafu chekeni wenyewe ila watanzania tumeshaamua huu ni muda wa MABADILIKO.
CCM lazima muondoke kwakuwa hakuna namna nyingine tena.
 
Tumejifunga vitambaa vyeusi usoni, eti tunataka mabadiliko. we are shouting "anywhere is better than here"!! na hatujui tunapelekwa wapi!..
 

**** mahakama ya mijizi na mifisadi baada 25 oct

imamuhusu ; serikali
 

Lazima mtu atamjadili tokana na upuuzi alioufanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…