Dr. Slaa amfunika Lowassa kwenye media

Dr. Slaa amfunika Lowassa kwenye media

Mada za Magufuli zina wachangiaji wangapi na zipo ngapi?
 
Ufisadi upi? Ina maana mpaka leo somo la Richmond hujalielewa tu. Anyway binadamu hatufanani. Vipi kuhusu nyumba za serikali? Kivuko na mengine ambayo Mh Magufuli, Kikwete na Mkapa wanatuhumiwa nayo. Au ni kufikiri unaweza mpata mtu asiye na tuhuma yoyote. Mh raisi (Lowassa) alishaweka wazi kuhusu hili unataka nn kingine. Nachukia umaskini, vijana kukosa ajira, ebu tuuangalie upande huu nao badala ya kuwa rigid na waoga. Mungu bariki Tanzania.

Hivi kweli unaweza kuzungumzia nyumba za serikali bila kumtaja Sumaye?Kweli ushabiki ni ugonjwa
 
Mwenye post hii Huyu zuzu kweli

Dr kasava agombea hata udiwani ana impact gani kwenye siasa Dr toka atowe uozo wake ni Leo tu Dr magufuli hapata headlines kubwa Siku zote ilikuwa Lowasa na Dr kasava so anatualiabia hata cc wanalumumba
 
Magufuli angekuwa MSABATO tungesema tumepata mtu wa fungu la kukariri kwenye shule ya sabato sehemu ya kwanza

Lakini watanzania tumechoka na maneno,tunataka mtu sasa wa kufikiri na kutenda
 
Mimi simfagilii hata kidogo mtu anayeitelekeza familia yake tungempa urais huyu angeitelekeza nchi.Anadanganya kuwa anaishi kwa kula mihogowakati huo huo mchumba wake anatangazia ummma kuwa wanaachana na siasa na kujikita katika uwekezaji, jee nani kawapa hawa wachumba mtaji? Naanza kuiamini ile habari ya Yericko juu ys SFO.
 
Kama lowasa ni fisadi,na slaa kawasaidia kwa kuwa na ushshidi,kwanini msimpeleke mahakamani?
 
Dr Slaa unatakiwa kusoma nyakati. Muvi yako imeshapoteza mvuto. Ni miaka kumi sasa tunakusikia na Richmond tu. Ndio umeikariri hiyo hiyo unasafiria hiyo nyota ya Richmond. Kimsingi hiyo muvi imechuja na watu wamekujua rangi yako sasa na wamekupuuza wanakuona mbabaishaji uliyenunuliwa. Kuashiria kuwa muvi imechuja na watu wanekuchoka Jana umeandaliwa MAHOJIANO MAALUMU KIMKAKATI ili ujisafishe ukatumia energy kubwa kuongea yaleyale ya kila Siku na magazeti ya Leo yooote yamekupuuza hayajaandika hata chembe ya stories zako za mipasho. Umefanya mahojiano saa nne had saa tano ambapo kwa wataalamu wa utayarishaji wa magazeti tunasema kwa muda huu template za magazeti zilikuwa bado hazijaprintiwa na walikiwa na nafasi ya kukupa coverage kwenye magazeti. Amka fedheha inakuja na wanaokutumia wakiona huna impact watakugeuka na kukudump.. Angalia jinsi mbowe na Lowassa anbao ulitegemea watakuja kukujibu ili upate kick na uongee zaidi nao wamekupotezea pia.


Na
Huyu je
 
Mwenye post hii Huyu zuzu kweli

Dr kasava agombea hata udiwani ana impact gani kwenye siasa Dr toka atowe uozo wake ni Leo tu Dr magufuli hapata headlines kubwa Siku zote ilikuwa Lowasa na Dr kasava so anatualiabia hata cc wanalumumba

Dr kasava ndo naniiiii........
 
Kwa hiyo mnazani tutachagua mtu aliyeko kwenye? Jibu ni hapana maana aliyeko kwenye bado hawezi kuwa raisi ni bora nichague kinyesi ambacho kimeondolewa chooni maama kitakauka na harufu haitakuwepo tofauti na aliyeko kwe choo.peoplessssssssss. Mwaka huu lazima mtambue kwamba nchi hii siyo ya ccm ni ya kila mtu. Jipangane kivingine nadhani mbinu zimewaishia mpaka mnatumia zakizamani. Lowasa mabadiliko, mabadiliko lowasa. Aluta contin......
 
CHADEMA wanajuta sana kumchukua Lowasa. Sijui hawakujua kama ufisadi na uadilifu ni vitu visivyochangamana! Nawasikitikia sana maana wamekiua chama kwa tamaa za Mbowe. Sasa wanashikwa na kwikwi kutamka neno fisadi
Mkuu, yaani hata Lowassa aingizwe kwenye choo na alowe mwili mzima kinyesi, tarehe 25 nampa kakura kangu then nakaa mita 101 kukalinda... Endeleeni kumchafua sisi tunaitafuta Kaanani na harudi mtu Misri... Taarifa mpelekeeni Farao
 
Ninapenda kuuliza, tunaijua siri iliyompa Dr. Slaa na chadema kwa ujumla ktk uchaguzi wa mwaka 2010 na hiyo leo Dr. Slaa kujiona bora kuliko yeyote ndani ya chadema na hivyo kuwadharau wengine wote ila yeye tu?

Anayefahamu vizuri aeleze ili tusiendelee kudanganyika.
 
Nyie watu wa Ukawa narudia kusema, hamjielewi, Dr kamaliza saa4 kuhojiwa ni vp magazeti yangeandika na kuhariri habari alafu itoke leo.Zitatoka kesho.

acha ujinga wewe wapi nimezingumzia magazeti au ndio ugonjwa wenu umekupanda kichwani ?
 
Hivi familia ya Kenyatta ni ya ngapi kwa utajiri Kenya ??? Pamoja na mbwembwe zote Uhuru Kenyatta ndio Raisi Wa Kenya ,kutawaliwa na mla Mihogo hapana aisee
#LOWASAANATOSHA
 
Hivi ni nani wanashabikia fisadi?

Na fisadi mwenyewe ndo nani?


Watu wanaomshabikia fisadi wanataka tuwaeleweje?,,,,, tuwaitaje?


"salute mzee Mkapa"
kwa majina muafaka.
 
Hivi ni nani wanashabikia fisadi?

Na fisadi mwenyewe ndo nani?


Watu wanaomshabikia fisadi wanataka tuwaeleweje?,,,,, tuwaitaje?


"salute mzee Mkapa"
kwa majina muafaka.
Mzee Mkapa kafuata nyayo za baba wa taifa
 
Hivi familia ya Kenyatta ni ya ngapi kwa utajiri Kenya ??? Pamoja na mbwembwe zote Uhuru Kenyatta ndio Raisi Wa Kenya ,kutawaliwa na mla Mihogo hapana aisee
#LOWASAANATOSHA
Huwezi kumfananisha Kenyatta na huyu fisadi Lowasa. Utajiri wa Kenyatta unaeleweka. Utajiri wa Lowasa ni upi?
 
Back
Top Bottom