Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,556
- 29,639
PHD alikuwa SPIKAna katika kipindi chote hicho zitto ndiye alikuwa waziri mkuu, halima mdee makamu wa rais.
PHD alikuwa SPIKAna katika kipindi chote hicho zitto ndiye alikuwa waziri mkuu, halima mdee makamu wa rais.
kumbe huku jf ni michadema mitupu imejaa, subirini basi tuone hizo ndoto zenu,na katika kipindi chote hicho zitto ndiye alikuwa waziri mkuu, halima mdee makamu wa rais.
kumbe huku jf ni michadema mitupu imejaa, subirini basi tuone hizo ndoto zenu,
this is the truth na hata wana ccm ninaoongea nao wanamkubali slaa kwa vitendo japo wanamkubali kikwete kwa maneno na wameahidi kumpigia kura slaa.........wameendelea kuandamana na kikwete kwenye mikutano yake ili asiaibike na ajue wapo pamoja naye wakati mioyo yao ipo mbali na kikwete.........tuanze leo kujenga nchi kwa kuchagua kiongozi atakayesimamia maslahi ya taifa letu
hilo halina mjadala walkati watu wanabembea kwenye bembea jamaica huku mzee dr slaa alikuwa anapambana na mafisadi bungeni sasa kwa hilo nani hapo alikuwa raisi wa nchi??? Anayembea au anakemea maovu yanaondelea nchini?????????????????????