Dr. Slaa akwea pipa na kuondoka nchini [PROPAGANDA]

Dr. Slaa akwea pipa na kuondoka nchini [PROPAGANDA]

Status
Not open for further replies.

palalisote

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2010
Posts
8,335
Reaction score
1,463
Moderator:

Picha hizi chini si za leo, zinatumika kufanya propaganda. Dr. Slaa yupo nchini na JamiiForums imewasiliana naye na kuthibitisha hajaondoka nchini

======

Kama ailivyokuwa kwa mwenzake Pof. Lipumba mara baada ya kufanya press conference alikwea pipa. Vivyo hivyo Dr. Slaa naye kakwea pia leo. Habari za uhakika ni kuwa anaelekea USA.

11951889_10203657338754355_8273820177259980967_n.jpg

11951248_10203657337074313_6252291186441749736_n.jpg

11988613_10203657337994336_3016629590105493389_n.jpg
 
picha hiyo ya mwaka jana usituzuge na kutuharibia siku kwa umbea na uongo wako.
 
Jana baada ya kuongea na wanahabari na kuwachana Lowasa na Sumaye Huyu babu ameingia mitini ajulikani anakwenda wapi
 

Attachments

  • 1441188268809.jpg
    1441188268809.jpg
    33.2 KB · Views: 2,085
  • 1441188286947.jpg
    1441188286947.jpg
    31.3 KB · Views: 1,743
  • 1441188316340.jpg
    1441188316340.jpg
    44.3 KB · Views: 1,741
Ni maisha yake binafsi. Kama hujawahi kukwea pipa pole sana

THIS IS TOO LOW na uzuri wewe ni wa kwanza hapa kuripoti uhuni wa CCM kumnunua Slaa ili kupumbaza mabadiliko!!!

Kamnunueni na Mzee Mtei kule Tengeru basi maana bado moto wa UKAWA unawaka na Lipumba na Slaa hawajafua tafu!!
 
Akirudi anajifungia na kuishi kama mkimbizi katengeneza uadui na Wapenda mabadiliko plus viongozi wa dini kisa CCM. Nchi ina viongozi wa ajabu sana hii.

Katika dunia ya watu wanaomtegemea mungu huwezi kuacha kusema ukweli kisa utatengeza uadui kwahiyo waachwe wapige dili kwa ufisadi wasisemwe kisa nini hakuna hiyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom