Dr. Slaa akimbilia tena Marekani, awatakia Watanzania uchaguzi salama

Ashukuru Mungu ana nauli. Wafadhili wa nauli wakimgundua ni used toilet paper, down into the drain he goes! Kama kuna mtu anamtolea macho first lady yule ajiandae kuposa
 
Lowasa wala hana issue yoyote na DR Silaa.

ataonekana ni raia kama raia wengine tu, waliopotoka, wanaohitaji kupewa dozi ya ELIMU< ELIMU> ELIMU mpaka wastaarabike.



Lowassa akishinda babu Slaa atajitangaza mkimbizi wa siasa abaki huko Marekani kwa hifadhi!
 
Amekwenda kuungana na Mzee Mwanakijiji wapige dili lingine kabla CCM haijakabidhi madaraka
 
Ukawa wamemtumia dr.slaa sasa hivi wanamuona hafai,kama magufuli anavyosema'shukurani ya punda mateke',baada ya magufuli kutangazwa rais,waliokimbilia ukawa wajitayalishe,ni nani atakayemfuatia dr.slaa,kazi kwenu
 
Baada ya kutapatapa huku na kule na kushuhudia jinsi alivyoshusha heshima yake na kudharauliwa na wananchi Dr. Slaa kaamua kukimbilia tena Marekani na kuwatakia watanzania uchaguzi mwema.

Dr. Slaa hapa karibuni heshima yake ilishuka sana, baada ya kuanza kutumiwa na CCM. Maskini saizi baada ya kuona hana impact tena wameamua kuachana naye jumla na yeye kuamua kurudi Marekani kwa aibu...

Mytake: Hiyo ndio dhambi ya usaliti. Kamwe hawezi kuishi kwa furaha

Source: Raia Tanzania... 16.10.2015
alimsaliti nani?
 
Kila zama na kitabu chake. Dr. Kafikisha chama alipokifikisha na wengine no wajibu wao kufika watakapoweza pia bila ya yeye na sio kumkashifu. Wale wanaomkashifu wengi ni hawa jamaa zangu bendera hufuata upepo hawajielewi. Wanaopreach mabadiliko wakati wao wenyewe hawajui the meaning of mabadiliko. Acheni hizo madogo. Akili za kushikiwa changanyeni na zenu.
 
Dr Mihogo Slaa nni "habitual hypocrite"
1. Alilisaliti kanisa la Mungu
2. Akaisaliti CCM
3. Akaisaliti ndoa takatifu; Mke na watoto!
4. Akaisaliti CDM
5. Akayasaliti MABADILIKO
6. Sasa ameamua kulisaliti taifa zima la Tanzania na kukimbilia Ughaibuni

Mungu amlipe kadri anavyostahili; Amen!!
 
maskini Dr Slaa Delilah kamponza anadharaulika kuliko mwana siasa yeyote yaani zaidi ya Zitto duh angebaki aone mabadiliko aliyoanzisha yakitimia
 
Kazi yake mtaishuhudia 25/10/2015 batukeni tu

Kwa lipi kwa hizo pikipiki na magodown kupiga kura Kikwete ni raisi hovyo kupata kutokea hata kuiba kura hajui alidhani ya 2010 yatatimia muliwa ccm mbele ya watanzania na dunia nzima
 
Back
Top Bottom