sina-ajira
Senior Member
- May 1, 2013
- 136
- 38
Dr Slaa ni msomi,mtu makini na uwezo wake wa kuchambua mambo unajulikana na kila mtu,Naona kama mleta Post umetawaliwa na Mahaba juu ya Chama chako Cha CCM,Nape hana hadhi ya kuongea na Dr Slaa katika mijadala muhimu na aliondoka kwasababu aliona kama vile amevunjiwa heshima.Nape?Nape huyu huyu mlopokaji?Come on Guys be serious!Aonge na Dr Slaa?Dr Slaa alimtaka Katibu mwenziwe Bw Kinana na siyo kichwa kitupu Nape.No wonder he was gone disappointed.