Greenwhich
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,337
- 968
- Thread starter
-
- #41
Katibu mkuu wa chadema Dr. Willibrod Slaa Leo atafungua Matawi mapya kadhaa pamoja Na ofisi ya Jimbo la Momba CHADEMA pamoja na kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya shule ya msingi Tunduma. Fuatana Na thread hii Kwa matukio mbalimbali yatakayojiri leo.
Peopleeeeees!
tunawatakia mkutano mwema na muwe makini na mamluki wa uvccm waovalishwaga magwanda wanakuja kuleta fujo ili ionekane ni chadema wameleta.Mungu awatangulie katika yote Ameni.
Pale mbozi mashariki kuna ka kirusi fulani hapo.pigeni m4c la maana ili 2015 kasirudi kabisa mjengoni.viva the 5th presd of tz,dr w.p.slaa!
acha kuharibu sred ya mwenzio kwa kuanzisha nyingine.. Vilevile huwezi kumchanganya slaa na kundi la madudedude tia heshma mkuu..
Slaa ni mtu mwenye heshima zake ndani na nje ya uzio wa mipaka ya nchi yetu. Wewe dudus mtu akikuchanganya na mavi utafurahi..? Acha ivo bana
Chadema nendeni vijijini mkatoe elimu ya uraia, wao wanaamini ccm ndo kila kitu! Mkifanikiwa kutoa elimu ya uraia kwa asilimia 60 tu vijijini mnaweza kubadilisha historia ya taifa letu!
Ma housegirl wanalika mkuu na wengi tunajisevia. Me mwenyewe baada ya kuona mke wangu anatoka na jamaa mwingine niliamua kupooza makali kwa housegirl wangu na nikawa naenjoy kwelimaana wanajua kucare na heshima inakuwa juu. Maana huku bosi, kule ni honey. So kunakuwa na utulivu kweli. Sasa nimeamua kumuacha huyu zumbukuku na nimetulia na house girl na nimefunganaye ndoa huku tukibarikiwa kwa kupata watoto mapacha wawili wa kike nakiume. Thanks God. Wakati mwingine Mungu ana makusudi yake. Ila kwa kuchukua mke wa mtu ni kashfa kubwa na huko ni kukosa ujasiri wa kutongoza. Maana wake za watu hawatongozwi bwali ni makubaliano tu hufanyika. Salamu pekee yatosha kumpata mke wa mtu hasa ikiwa mjamaa ni mvivu wa ule mchezo au kama ana kale kamchezo ka bafuni kama anavyofanya katibu mkuu wa chama fulani[/QUOTE]
Pamoja na kukubali kuwa unatembea na House girl pia umeonyesha uzoefu na wake za watu.
Na zaidi kuwa wewe mkeo alichukuliwa kwa kuwa ulikuwa unafanya mchezo wa bafuni! kama nimekuelewa hapo kwenye nyekundu na blue.
CDM walipanga mkakati mzuri sana wa kiuongozi Bungeni na nje ya Bunge ambao unatoa mbadala sawia kwa serikali iliyoko madarakani.
Kwamba; kila kiongozi wa CCM bungeni na nje ya bunge anaye mbadala wake ndani ya CDM, Kifo cha CCM 2015 ni dhahili, hata wana CCM wengi wanalijua hilo.
Madam Supika, Makinda -------------- Mbowe, Kiongozi wa Upinzani Bungeni
Waziri Mkuu, Pinda -------------------- Zitto, Makamu Kiongozi wa Upinzani Bungeni
Msemaji wa CCM bungeni, Lukuvi ------- Tundu Lissu, Mnadhimu Kambi ya upinzani bungeni
Raisi aka Mkuu wa nchi, Kikwete ------- Dr. Slaa; Katibu Mkuu CDM; Rais Mioyoni mwa waTZ (Majority)
Mawaziri, --------------------------------- Mawaziri Vivuli
Wakuu wa mikoa -------------------------- Wakuu wa Kanda
----------
----------
---------
Mkuu wa PoliCCM; Saidi Mwema --------------------------------- Rwakatare (haaaa haaa ), Mkuu wa Usalama CDM
Mkuu hapo kwenye red mbona husomeki? Ulichoandika hapo ni zaidi ya matusi unajua hilo? Unawezaje ku-equate hao watu wawili!
Ma housegirl wanalika mkuu na wengi tunajisevia. Me mwenyewe baada ya kuona mke wangu anatoka na jamaa mwingine niliamua kupooza makali kwa housegirl wangu na nikawa naenjoy kwelimaana wanajua kucare na heshima inakuwa juu. Maana huku bosi, kule ni honey. So kunakuwa na utulivu kweli. Sasa nimeamua kumuacha huyu zumbukuku na nimetulia na house girl na nimefunganaye ndoa huku tukibarikiwa kwa kupata watoto mapacha wawili wa kike nakiume. Thanks God. Wakati mwingine Mungu ana makusudi yake. Ila kwa kuchukua mke wa mtu ni kashfa kubwa na huko ni kukosa ujasiri wa kutongoza. Maana wake za watu hawatongozwi bwali ni makubaliano tu hufanyika. Salamu pekee yatosha kumpata mke wa mtu hasa ikiwa mjamaa ni mvivu wa ule mchezo au kama ana kale kamchezo ka bafuni kama anavyofanya katibu mkuu wa chama fulani