Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,993
Mbona slaa aliwabeza wazanzibar nini kimempeleka huko.
Sea fast ferries.
Mbona slaa aliwabeza wazanzibar nini kimempeleka huko.
Sea fast ferries.
Dr. Slaa hana mvuto. Watu wanaendelea na shughuli zao kama hayupo vile.
Slaa maisha yake ya siasa anayamalizia kwa grafu ya chini mno!!!
katibu mkuu wa chadema dokta wilbroad slaa yuko ndani ya zanzibar akihitimisha mabaraza ya katiba mpya ya chadema, wilaya za pemba na unguja!
Dr slaa amewasili katika visiwa hivyo katika kuhakikisha kwamba chadema inakusanya maoni ya watanzania walio wengi hasa kutokana na kwamba chama hicho ndiyo waasisi wa katiba mpya.
Sea fast ferries.[/QUOTE
HATA AKIJA ZANZIBAR ATAISHIA KWENYE KILE KIOFISI CHAKE TU....!! ZANZIBAR INAWENYEWE NA KARIBU TUTAIPEPERUSHA BENDERA YETU MPYA HUKO UN......KAMA VILE 1963
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dokta Wilbroad Slaa yuko ndani ya Zanzibar akihitimisha mabaraza ya Katiba Mpya ya CHADEMA, wilaya za Pemba na Unguja!
Dr Slaa amewasili katika visiwa hivyo katika kuhakikisha kwamba CHADEMA inakusanya maoni ya watanzania walio wengi hasa kutokana na kwamba chama hicho ndiyo waasisi wa Katiba mpya.
kumbe yupo nyumbani, naona kimyaaaa, kama hayupo.......!!!! chezea sisi wewe....!!! CHADEMA mwisho chumbeeeee!!!
ZANZIBAR KWANZA...!!
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dokta Wilbroad Slaa yuko ndani ya Zanzibar akihitimisha mabaraza ya Katiba Mpya ya CHADEMA, wilaya za Pemba na Unguja!
Dr Slaa amewasili katika visiwa hivyo katika kuhakikisha kwamba CHADEMA inakusanya maoni ya watanzania walio wengi hasa kutokana na kwamba chama hicho ndiyo waasisi wa Katiba mpya.
CCM utaishabikia mpaka 2015 akiwepo Jk akipanda Lowasa, Magufuli au Mwakyembe utachikichia kama supu kutafuta chama cha kwenda.CHADEMA walikuwa wanahutubia au kupokea maoni?
Lazima niwe muwazi CCM walifanya vizuri kupokea maoni than any other party in short wako vizuri kwenye ki-organization! Wamekusanya maoni kisayansi if I may Say!
Dr. Slaa hana mvuto. Watu wanaendelea na shughuli zao kama hayupo vile.
Slaa maisha yake ya siasa anayamalizia kwa grafu ya chini mno!!!
Kachoooka, mchovu tu, hana mvuto tena wala tijaKatibu Mkuu wa CHADEMA Dokta Wilbroad Slaa yuko ndani ya Zanzibar akihitimisha mabaraza ya Katiba Mpya ya CHADEMA, wilaya za Pemba na Unguja!
Dr Slaa amewasili katika visiwa hivyo katika kuhakikisha kwamba CHADEMA inakusanya maoni ya watanzania walio wengi hasa kutokana na kwamba chama hicho ndiyo waasisi wa Katiba mpya.
Kachoooka, mchovu tu, hana mvuto tena wala tija
kumbe yupo nyumbani, naona kimyaaaa, kama hayupo.......!!!! chezea sisi wewe....!!! CHADEMA mwisho chumbeeeee!!!
ZANZIBAR KWANZA...!!
As if kweli wewe ni mzanzibari pole kwa kuwa teja la JF yaani ili mradi ni dr Slaa basi hamna shida ya katiba bure nyie kabisa