Dr Slaa aandaliwa hujuma Iramba

Dr Slaa aandaliwa hujuma Iramba

Status
Not open for further replies.

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,361
Huku kukiwa na shamrashamra na nderemo Iramba Magharibi kusubiri ujio wa kihistoria wa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa siku ya Jumamosi tayari hujuma zimeanza dhidi ya ziara hiyo.

Dr Slaa anatarajiwa kuhutubia mkutano mkubwa sana wa hadhara jimboni Iramba Magharibi siku ya Jumamosi kwa lengo la kukusanya maoni ya wananchi katika mabaraza ya Katiba ya CHADEMA.

Taarifa kutoka Iramba zinasema katika hali ya kutapatapa kudhibiti watu wasihudhurie mkutano huo,mbunge wa jimbo hilo Mwigulu Nchemba amealika timu ya Simba ya Dar es Salaam kumenyana na timu ya Polisi Jamii ya hapo Iramba kwa mechi ya kirafiki.Mechi hiyo itafanyika eneo jirani na muda huo huo atakaohutubia Dr Slaa.

Katibu mkuu huyo anatarajiwa kuwasili jimboni humo akitumia helikopta na maelfu ya watu wamejiandaa kumlaki na kutoa maoni yao ya Katiba mpya.

Kuna uhamasishaji mkubwa wa CHADEMA unafanyika hapa kumsikiliza Katibu Mkuu huyo ambaye kwa sasa ni kipenzi kikubwa cha watanzania.
 
Hahah ''fake technique".... KATIBA kwanza/ Simba BaadaE... MUSTAKABALI wa Wana_Iramba upo Mikononi mwao... CHADEMA songa Mbele Makamanda.
 
huyo ndio mwiguru mchumi no 1..

kila kitu kina mwanzo na mwisho.. kama mwiguru amezaliwa basi atakufa tu...
 
Mwiguruuuuuu! huyu jamaa asipoangalia anaweza pata mtindio wa ubongo. hawezi kuzuia mabadiliko kwa kuleta mechi ya kirafiki. duh CCM mmechoka mbaya.
 
Huku kukiwa na shamrashamra na nderemo Iramba Magharibi kusubiri ujio wa kihistoria wa Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa siku ya Jumamosi tayari hujuma zimeanza dhidi ya ziara hiyo.

Dr Slaa anatarajiwa kuhutubia mkutano mkubwa sana wa hadhara jimboni Iramba Magharibi siku ya Jumamosi kwa lengo la kukusanya maoni ya wananchi katika mabaraza ya Katiba ya Chadema.

Taarifa kutoka Iramba zinasema katika hali ya kutapatapa kudhibiti watu wasihudhurie mkutano huo,mbunge wa jimbo hilo Mwigulu Nchemba amealika timu ya Simba ya Dar es Salaam kumenyana na timu ya Polisi Jamii ya hapo Iramba kwa mechi ya kirafiki.Mechi hiyo itafanyika eneo jirani na muda huo huo atakaohutubia Dr Slaa.

Katibu mkuu huyo anatarajiwa kuwasili jimboni humo akitumia helikopta na maelfu ya watu wamejiandaa kumlaki na kutoa maoni yao ya Katiba mpya.

Kuna uhamasishaji mkubwa wa Chadema unafanyika hapa kumsikiliza Katibu Mkuu huyo ambaye kwa sasa ni kipenzi kikubwa cha watanzania.
Molemo unamatatizo hujuma ziko wapi sasa hapa ni utashi wa mtu atakayependa siasa ataenda kwenye siasa anayependa mpira ataenda mpirani tatizo liko wapi hapo.
 
huyo ndio mwiguru mchumi no 1..

kila kitu kina mwanzo na mwisho.. kama mwiguru amezaliwa basi atakufa tu...
Hata wewe na slaa mtakufa hakuna ambaye hatakufa huko ni kujidanganya.
 
Huku kukiwa na shamrashamra na nderemo Iramba Magharibi kusubiri ujio wa kihistoria wa Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa siku ya Jumamosi tayari hujuma zimeanza dhidi ya ziara hiyo.

Dr Slaa anatarajiwa kuhutubia mkutano mkubwa sana wa hadhara jimboni Iramba Magharibi siku ya Jumamosi kwa lengo la kukusanya maoni ya wananchi katika mabaraza ya Katiba ya Chadema.

Taarifa kutoka Iramba zinasema katika hali ya kutapatapa kudhibiti watu wasihudhurie mkutano huo,mbunge wa jimbo hilo Mwigulu Nchemba amealika timu ya Simba ya Dar es Salaam kumenyana na timu ya Polisi Jamii ya hapo Iramba kwa mechi ya kirafiki.Mechi hiyo itafanyika eneo jirani na muda huo huo atakaohutubia Dr Slaa.

Katibu mkuu huyo anatarajiwa kuwasili jimboni humo akitumia helikopta na maelfu ya watu wamejiandaa kumlaki na kutoa maoni yao ya Katiba mpya.

Kuna uhamasishaji mkubwa wa Chadema unafanyika hapa kumsikiliza Katibu Mkuu huyo ambaye kwa sasa ni kipenzi kikubwa cha watanzania.
Wairamba wenyewe ni watu na akili zao kwa hiyo watachagua ni kipi cha muhimu, burudani ya dakika 90 au hatma ya maisha yao na vizazi vyao kwa miaka miiiiingi ijayo. Kupanga ni kuchagua!

 
Molemo unamatatizo hujuma ziko wapi sasa hapa ni utashi wa mtu atakayependa siasa ataenda kwenye siasa anayependa mpira ataenda mpirani tatizo liko wapi hapo.

Watu wenye uelewa wanafahamu ninachokizungumza.

Mbinu hii haitawazuia wana Iramba kutoa maoni yao.
 
Huyu Molemo nae ni wa kupuuzwa, sasa hapo hujuma ipo wapi?

Watu waache kuburudika kwa sababu ya Dr Slaa?

Kama ikitokea wananchi wamependezwa na ujio wa Dr Slaa, basi waende wakamsikilize.

Mwisho wa haki yako, mwanzo wa haki ya mwingine. Simple.
 
We Molemo vipi bwana?! Mie mwenyewe siku hiyo nitakwenda kwa Dada kumpelekea sketi na mkanda wa kupunguza tumbo. Siji kwenye mkutanoni wenu ng'o!
0

1170811_156243614577875_1219415760_n.jpg

 
Huku kukiwa na shamrashamra na nderemo Iramba Magharibi kusubiri ujio wa kihistoria wa Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa siku ya Jumamosi tayari hujuma zimeanza dhidi ya ziara hiyo.

Dr Slaa anatarajiwa kuhutubia mkutano mkubwa sana wa hadhara jimboni Iramba Magharibi siku ya Jumamosi kwa lengo la kukusanya maoni ya wananchi katika mabaraza ya Katiba ya Chadema.

Taarifa kutoka Iramba zinasema katika hali ya kutapatapa kudhibiti watu wasihudhurie mkutano huo,mbunge wa jimbo hilo Mwigulu Nchemba amealika timu ya Simba ya Dar es Salaam kumenyana na timu ya Polisi Jamii ya hapo Iramba kwa mechi ya kirafiki.Mechi hiyo itafanyika eneo jirani na muda huo huo atakaohutubia Dr Slaa.

Katibu mkuu huyo anatarajiwa kuwasili jimboni humo akitumia helikopta na maelfu ya watu wamejiandaa kumlaki na kutoa maoni yao ya Katiba mpya.

Kuna uhamasishaji mkubwa wa Chadema unafanyika hapa kumsikiliza Katibu Mkuu huyo ambaye kwa sasa ni kipenzi kikubwa cha watanzania.
kama simba wameshapewa mgao wao waende lakini kama wanategemea mapato ya mlangoni wajue watapata hasara kubwa maana Dct Slaa kwa sasa ni zaidi ya simba na yanga
 
Huyu Molemo nae ni wa kupuuzwa, sasa hapo hujuma ipo wapi?

Watu waache kuburudika kwa sababu ya Dr Slaa?

Kama ikitokea wananchi wamependezwa na ujio wa Dr Slaa, basi waende wakamsikilize.

Mwisho wa haki yako, mwanzo wa haki ya mwingine. Simple.

Mimi na wewe wa kupuuzwa ni nani?

Wana Iramba watatoa maoni yao hata kama itatumika njia gani.

Katiba mpya ni wananchi waacheni watoe maoni yao kwa amani.
 
Kamanda Nchemba tumpe sifa zaidi hadi tumefikia hapa tulipo.kamanda endelea kwani wewe unatuweka CHADEMA sehemu nzuri zaidi.

Kwa hizo propaganda zako ulizosomea ulaya mashariki na China .amabazo zimepitwa na wakati endelea tu.
 
Mwigulu inayomsumbua ni njaa kali mchumia tumbo bado tu hamjamshtukia?
 
Kwa heshima ya lugha ya Kiswahili nadhani neno hujuma si sahihi kutumika kulingana na namna ulivyoeleza kitachojiri, labda ungelitumia neno fitina...
All in all naamini wapenda haki na wenye kutakia mema mchakato wa kupata katiba mpya, watapuuza habari za mpira na kujumuika kwenye mkutano...
 
Huyu Molemo nae ni wa kupuuzwa, sasa hapo hujuma ipo wapi?

Watu waache kuburudika kwa sababu ya Dr Slaa?

Kama ikitokea wananchi wamependezwa na ujio wa Dr Slaa, basi waende wakamsikilize.

Mwisho wa haki yako, mwanzo wa haki ya mwingine. Simple.

Naona ndo ushamaliza kujibu shutuma naibu?
 
Mwigulu anamchanganya kweli slaa kwa sasa atakuwa anawaza kama kesho ni hukumu yake,yani watu waache kufanya mambo yao kisa anakuja slaa huko ni kupotoka mkuu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom