Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein akimfungisha ndoa Abdalla Hassan Mitawi, mfanyakazi wa kituo cha Televishein Zanzibar aliyemuoa mtoto wake Mwanaharusi Shein, ambaye ni Ofisa Uhusiano wa Benki ya Watu Zanzibar katika sherehe iliyofanyika jana kwenye Msikiti wa Al-Ibrahim Mombasa mjini Zanzibar.
Picha kwa hisani ya HabariLeo