Dr Shein a role model president we never had!!!

Binafsi namkubali sana Dr.shein na nampenda sana huyu jamaa 7bu jamaa ana uwezo mkubwa sana kuongoza c m2 wa porojo2 na jamaa hana makuu katulia sana dr.shein c kuangaika angani kila ck! Z'bar wamepata Raisi bora ila cc huku bara 2mepata bora Raisi2.
 
serikali ya kitaifa iko kazini zanzibar na wameungana na upinzani kufanya kazi ndio maana wanakwenda sasa ijapokuwa ni mapema mno kumpa sifa wakati msingi kajenga karume.

Bara wapinzani wana upande wao na tawala ana wakwake acha walumbane ipo siku watapata akili ya kujenga nchi, cuf toka 95 walikuwa ngangari na wameshinda zanzibar sasa.
 
mbona alipokuwa makam huku bara akikuwa kimya? pia nadhan ubora wa kazi unategemea na kiwango cha elim, kwani jamaa yupo juu, sikama huyu anayepwa kwa uzuri wa sura na kusingizia ni hshima!

Ndugu yangu Bara ni kugumu! Serikali ndani ya serikali ni vigumu kutawala. Ukawatawala watu kama akina Pengo wanaotaka kujenga serikali ndani ya serikali usifikiri kama utaweza kutimiza mipango yako kwa wananchi. Kilichomfanya adumu bara ni kutoonyesha uwezo wake akiwa bara. Asingefanya hivyo mbele ya akina MKAPA NA SUMAYE, hata leo urais wa Zanzibara angeusikia tu. Ilibidi awe smart akijua anachotaka. Hata Mwinyi alionyesha miujiza alipokuwa Rais Zanzibar, lakini alipoletwa kwa akina PENGO, ndipo alipopata kigugumizi na Mapengo.

Tatizo la tanzania bara hatujui tutakacho na nini tukipe kipau mbelekati ya yafuatayo: ukabila, udini au nchi. Kuna makabila hayaridhiki mpaka yenyewe yapate utawala na kuna madhehebu ya dini hayaridhiki mpaka yenyewe yawe sehemu ya serikali. Hayakosolewi wala kuguswa! Ukiwaambia baadhi ya viongozi wao wanauza madawa basi watakushikia mabango bila kujiuliza kwanza kama kuna watu wa aina hiyo. Kweli hii ni nchi.

Ni rahisi kutawala Uganda na Kenya kuliko Tanzania, kwa sababu wao ni protestant. Hata utafiti unaonyesha kuwa nchi zenye asilimia kubwa protestant zinaendelea haraka sana kuliko counterpart wake.
 
Kama tumeanza kukubali kuwa Zanzibar walifanya uamuzi wa maana kuweka siasa takataka za vyama pembeni na kujitazama na kujishughulikia kama Zanzibar ni vyema pia tukubali kuwa GNU sio kitu kibaya hata kwa bara pia.

Tukimsifia Dr. Shein pekee bila kubariki hekima ya CUF ya kukubali yaishe, tutakuwa tunazuia uwezekano wa kumaliza siasa za maji taka za vyama huku bara(Tanganyika)

Tuwaombee waendeleza muelekeo huu huko Zanzibar ili iwe chachu kwa wanasiasa na viongozi huku Tanganyika aka bara waone kuwa kufanya kazi na (vyama) chama cha upinzani kwa maslahi ya nchi inawezekana na ni jambo lenye kuleta tija na faraja kwa wananchi.
 
Ndugu yangu Bara ni kugumu! Serikali ndani ya serikali ni vigumu kutawala. Ukawatawala watu kama akina Pengo wanaotaka kujenga serikali ndani ya serikali usifikiri kama utaweza kutimiza mipango yako kwa wananchi. Kilichomfanya adumu bara ni kutoonyesha uwezo wake akiwa bara. Asingefanya hivyo mbele ya akina MKAPA NA SUMAYE, hata leo urais wa Zanzibara angeusikia tu. Ilibidi awe smart akijua anachotaka. Hata Mwinyi alionyesha miujiza alipokuwa Rais Zanzibar, lakini alipoletwa kwa akina PENGO, ndipo alipopata kigugumizi na Mapengo.



Wasiwasi wangu mkubwa isijekuwa ni harakati za kuelekea 2015, Mzee ruksa kwa upande mwingine kazungumzia wacha Mungu kupewa kutawala. Akiwa makamu wa Rais sijui alifanya nini cha kupigiwa mfano. Lakini hii inaweza kuupa nguvu ule useme wa kuongoza Zanzabar ni sawa na kuongoza mkoa mmoja wa bara. Mara tu huyu kesha kuwa na sifa kubwa kiasi hicho, sijui ila mpeni muda ndio mumpie perfomance yake.
 
Ndugu yangu Bara ni kugumu! Serikali ndani ya serikali ni vigumu kutawala. Ukawatawala watu kama akina Pengo wanaotaka kujenga serikali ndani ya serikali usifikiri kama utaweza kutimiza mipango yako kwa wananchi. Kilichomfanya adumu bara ni kutoonyesha uwezo wake akiwa bara. Asingefanya hivyo mbele ya akina MKAPA NA SUMAYE, hata leo urais wa Zanzibara angeusikia tu. Ilibidi awe smart akijua anachotaka. Hata Mwinyi alionyesha miujiza alipokuwa Rais Zanzibar, lakini alipoletwa kwa akina PENGO, ndipo alipopata kigugumizi na Mapengo.


Tatizo la tanzania bara hatujui tutakacho na nini tukipe kipau mbelekati ya yafuatayo: ukabila, udini au nchi. Kuna makabila hayaridhiki mpaka yenyewe yapate utawala na kuna madhehebu ya dini hayaridhiki mpaka yenyewe yawe sehemu ya serikali. Hayakosolewi wala kuguswa! Ukiwaambia baadhi ya viongozi wao wanauza madawa basi watakushikia mabango bila kujiuliza kwanza kama kuna watu wa aina hiyo. Kweli hii ni nchi.

Ni rahisi kutawala Uganda na Kenya kuliko Tanzania, kwa sababu wao ni protestant. Hata utafiti unaonyesha kuwa nchi zenye asilimia kubwa protestant zinaendelea haraka sana kuliko counterpart wake.


kanisa katoliki ndio inayotuletea mabalaa tz . Inaonyesha hii biashara ya viroba vya unga wanayo zamani , kazi kweli
 
Hivi huu u smart mnauchukuliaje? huyu si baada ya kuapishwa alitembelea wizara, sasa baada ya miezi 6, amewaita tena wakutane waulizane? Hapo utajua kuwa hana kazi za kufikiria za na kubuni maendeleo. Na mkumbuke Zanzibar ni kama wilaya ya Ilala kwa population, mimi nina uhakika hata Ngeleja akiwa raisi wa Zanzibar atafanya wonders, after all kwa vichwa vya huko atakuwa kisu cha kuotea mbali
 
kanisa katoliki ndio inayotuletea mabalaa tz . Inaonyesha hii biashara ya viroba vya unga wanayo zamani , kazi kweli

Pesa yote ya viroba WALIICHANGIE CHADEMA kTIKA UCHAGUZI WA 2010, wakitegemea Mh Slaa atashinda ili wafanye biashara kiulani.

Ni vyeme kuwa na sheria mpya ya kuzuia uchangiaji wa fedha haramu kama hizo. Sasa wanatapa tapa kwani deni toka kwa yule Godfaza Kule Latin Amerika bado hazijarudi. Eti wamewaahidi kuwalipa mwaka 2015, atakaposhinda mh Slaa. Wasicheze na wale Walatino, maana wanaweza wakawachinja kama kuku.
 
Bravo Dr. SHEIN. Big up kwa kuongeza bei ya karafuu. Hayo yote ni matunda ya serikali ya UMOJA WA KITAIFA. Viva ZANZIBAR.
 
Halafu jamaa huyu sijasikia akihusishwa na ufisadi wowote.Viva camarade Shein.
Dr Shein ni rais wa zanzibar ambaye wengi wetu tulikuwa tunamfahamu kama mzee wa mikasi. Nimekuwa namfuatilia kwa karibu utendaji wake tangu ashike madaraka. Sasa hivi wamefikia miezi sita tangu serikali anayoiongoza ashike hatamu na kwa utendaji wake na performance ni wa kuigwa. Nimefanya tathmini haya yafuatayo:-

Aliposhika madaraka motto ya uongozi wake ni Zanzibar yenye maendeleo na kujitegemea.

Vitu alivyovifanya hadi sasa tangu awe kiongozi wa nchi:-

a. Ameweza kutengeneza motto ya serikali ni kuhakikisha wizara za zanzibar zinakuwa na mipango sahihi na kutekelezeka.

b. Amepunguza matumizi ya viongozi wa juu wa serikali pamoja na safari zisizo na muhimu na kuongeza mishahara ya wafanyakazi wa chini kwa zaidi ya asilimia 100.

c. Zanzibar ina current account surplus na imekuwa inaongezeka kila mwezi kuonyesha kukuwa kwa exports kuliko imports in the country.

d. GDP ya zanzibar inakuwa kwa kasi na ndio inachangia kwa kukua kwa sekta ya uzalishaji (production and trade) Tanzania.

e. Hospitali kuu ya mnazi mmoja inafanyiwa ukarabati mkubwa jambo ambalo hospitali hii ilitelekezwa kitambo.

f. Ameweza kuwakamata wafanyabiashara wakuu wa madawa ya kulevya zanzibar na wako mbio kufikishwa mahakamani.

g. Airport kuu ya unguja inaanza kujengwa kufikia hadhi ya kimataifa (jambo lilikuwa hekaya za kufikirika zamani) na wameanza mchakato wa kuanza kujenga airport kubwa pemba.

h. Zanzibar wako mbioni kuanzisha shirika lao la ndege.

i. Amepandisha bei ya karafuu kutoka shillingi 3,000 hadi Tshs 20,000 (na hivyo kutatua tatizo la umaskini kwa upande mwengine kwani ni zao la karafuu ni uti wa mgongo wa zanzibar na serikali ililitupa mgongo na matokeo Kenya wametajirika na wengine wameamua kuacha kulima karafuu na kufanya biashara na vijana wengine kuwa hawana kazi) baada ya kupanda bei vijana wengi wameamua kurudi shamba kuanza kulima tena karafuu.

Hayo ni machache ninayo fahamu ila binafsi nampa pongezi Dr Shein wewe ni kiongozi makini na tunasikia mwadilifu mmungu akupe nguvu uendelee na umakini huo huo uwasaidie wazanzibar kwa walikuwa maskini mno!!! Tunatamani uje kutuongoza na sie Tanganyika kwani tumekosa mwelekeo kwa sasa!!!!
 
Ndugu yangu Bara ni kugumu! Serikali ndani ya serikali ni vigumu kutawala. Ukawatawala watu kama akina Pengo wanaotaka kujenga serikali ndani ya serikali usifikiri kama utaweza kutimiza mipango yako kwa wananchi. Kilichomfanya adumu bara ni kutoonyesha uwezo wake akiwa bara. Asingefanya hivyo mbele ya akina MKAPA NA SUMAYE, hata leo urais wa Zanzibara angeusikia tu. Ilibidi awe smart akijua anachotaka. Hata Mwinyi alionyesha miujiza alipokuwa Rais Zanzibar, lakini alipoletwa kwa. MIJITU BAADA YA KUONGEA HOJA MNAANZA KUONGELEA PENGO NA KANISA KATOLIKI.KWENYE HUO UTAFITI WAKO HUJAONA MAHALI KUWA NCHI PIA ZENYE WAKATOLIKI WENGI UCHUMI UNAKUA KAMA BRAZIL,ARGENTINA,POLAND,SPAIN?
NYIE ENDELEENI KULISEMA KANISA LA MIAKA 2000,WAKATI LENYEWE LINAENDELEA KUTOA UMASKINI KWA KUFUNGUA MAHOSPITALI,MASHULE,NYUMBA ZA WATOTO YATIMA NA VYUO VIKUU.
CHUKI HAITAWASAIDIA NA KANISA KATOLIKI LITAKUWEPO MPAKA YESU AKIRUDI. WAMESHINDWA WAKINA KAISARI NERO NA WENGINE MASHETANI KURIHARIBU,MTAWEZA NYINYI VIDAMPA ?
 
..sasa anatakiwa apunguze ukubwa wa baraza lake la mawaziri.

..baada ya hapo apunguze na ukubwa wa baraza la wawakilishi.
 
Dr shein ni rais wa zanzibar ambaye wengi wetu tulikuwa tunamfahamu kama mzee wa mikasi. Nimekuwa namfuatilia kwa karibu utendaji wake tangu ashike madaraka. Sasa hivi wamefikia miezi sita tangu serikali anayoiongoza ashike hatamu na kwa utendaji wake na performance ni wa kuigwa. Nimefanya tathmini haya yafuatayo:-

Aliposhika madaraka motto ya uongozi wake ni Zanzibar yenye maendeleo na kujitegemea.

Vitu alivyovifanya hadi sasa tangu awe kiongozi wa nchi:-

a. Ameweza kutengeneza motto ya serikali ni kuhakikisha wizara za zanzibar zinakuwa na mipango sahihi na kutekelezeka.

b. Amepunguza matumizi ya viongozi wa juu wa serikali pamoja na safari zisizo na muhimu na kuongeza mishahara ya wafanyakazi wa chini kwa zaidi ya asilimia 100.

c. Zanzibar ina current account surplus na imekuwa inaongezeka kila mwezi kuonyesha kukuwa kwa exports kuliko imports in the country.

d. GDP ya zanzibar inakuwa kwa kasi na ndio inachangia kwa kukua kwa sekta ya uzalishaji (production and trade) Tanzania.

e. Hospitali kuu ya mnazi mmoja inafanyiwa ukarabati mkubwa jambo ambalo hospitali hii ilitelekezwa kitambo.

f. Ameweza kuwakamata wafanyabiashara wakuu wa madawa ya kulevya zanzibar na wako mbio kufikishwa mahakamani.

g. Airport kuu ya unguja inaanza kujengwa kufikia hadhi ya kimataifa (jambo lilikuwa hekaya za kufikirika zamani) na wameanza mchakato wa kuanza kujenga airport kubwa pemba.

h. Zanzibar wako mbioni kuanzisha shirika lao la ndege.

i. Amepandisha bei ya karafuu kutoka shillingi 3,000 hadi Tshs 20,000 (na hivyo kutatua tatizo la umaskini kwa upande mwengine kwani ni zao la karafuu ni uti wa mgongo wa zanzibar na serikali ililitupa mgongo na matokeo Kenya wametajirika na wengine wameamua kuacha kulima karafuu na kufanya biashara na vijana wengine kuwa hawana kazi) baada ya kupanda bei vijana wengi wameamua kurudi shamba kuanza kulima tena karafuu.

Hayo ni machache ninayo fahamu ila binafsi nampa pongezi Dr Shein wewe ni kiongozi makini na tunasikia mwadilifu mmungu akupe nguvu uendelee na umakini huo huo uwasaidie wazanzibar kwa walikuwa maskini mno!!! Tunatamani uje kutuongoza na sie Tanganyika kwani tumekosa mwelekeo kwa sasa!!!!

Sasa ni muhimu sana kama mtaenda UN mkaombe uhuru wenu, kama South Sudan, mwende, mkasaidie nchi yenu! Msin'gan'ganie Hunywa pombe huku Tanganyika!
 
Kama ni kweli well done watu km hawa inabudi waendelee kuongoza hata km muda hauruhusu,coz huyu anaanza vyema af anayekuja anafanya kinyesi so mambo hayaendi,inaumiza hiyoo,inabakia kana shein angekuwepo,!!!!!!!!!

flora, du avatar yako, kiboko, nani mnunuzi?
 
Ndugu yangu Bara ni kugumu! Serikali ndani ya serikali ni vigumu kutawala. Ukawatawala watu kama akina Pengo wanaotaka kujenga serikali ndani ya serikali usifikiri kama utaweza kutimiza mipango yako kwa wananchi. Kilichomfanya adumu bara ni kutoonyesha uwezo wake akiwa bara. Asingefanya hivyo mbele ya akina MKAPA NA SUMAYE, hata leo urais wa Zanzibara angeusikia tu. Ilibidi awe smart akijua anachotaka. Hata Mwinyi alionyesha miujiza alipokuwa Rais Zanzibar, lakini alipoletwa kwa akina PENGO, ndipo alipopata kigugumizi na Mapengo.

Jambo unalotaka kulipandikiza vichwani mwa watu ni zito hivyo hoja zako walau zilipaswa kuwa na uzito kidogo wenye kushawishi, japo kwa mbali, unaposhindwa kufanya hivyo ndipo uhalisia na utupu wa mawazo yako unapoonekana, kwamba sio fikra zenye kujenga bali ni hisia za chuki na extremism ya dini vilivyochanganyika na wivu ndani yake!

Ni vipi Pengo ameunda au ametaka kuunda serikali ndani ya serikali? Unamaanisha nini ukisema serikali? Kwamba ni ule mhimili unaotawala ukiongozwa na rais na wateule wake (baraza la mawaziri,n.k)? Ni vipi Pengo alitaka kuunda serikali ndani ya serikali?Fafanua!

Pia unajaribu kuonesha kuwa marais wetu waliokuwa waislamu hawakuweza kudeliver,ila hasa kwasababu ya 'ukatoliki'. Hii inawezekana vipi? Kwanza unafahamu idadi ya wakatoliki?(bila shaka unaijua ndio maana ulikiri kuwa TZ ina wakatoliki wengi zaidi ya Kenya). Hii inamaana rais yeyote mkristo au muislamu atakuwa amepigiwa kura nao. Sasa inakuwaje rais ashindwe kuleta maendeleo kwa sababu ya wakatoliki?
Mimi ninachojua ni kwamba viongozi hawa wamefanya makosa ya kiutawala,mengine kwa makusudi,mengine kibinadamu tu na kushindwa kwao ni wao binafsi na si dini zao,na mfumo huu wa CCM ndio hasa tatizo, na hata Mkapa naye ambaye ni mkatoliki amevurunda sana hasa katika ufisadi wa serikali yake na kuuza rasilimali za nchi kwa wageni ambalo ni kosa lake si la dini yake.

Unapaswa kutambua kuwa mfumo wetu wa kikatiba, elimu na mipango yetu na vipaumbele vyetu vya kiuchumi ni mchawi mkubwa wa maendeleo yetu na sio dini yeyote, askofu wala shekhe!
Vinginevyo kama una chukia watanzania wenzako kwasababu tu haamini katika unachoamini wewe basi tatizo lako hilo linahitaji kusaidiwa.
 
Kweli hali ya zanzibar imeanza kubadilika hata ukiingia kwenye ofisi za serikali huduma zimebadilika zimekuwa bora zaidi.
Ila sehemu moja tu ambayo ningependa kuona anaitupia macho haraka ni jengo la TvZ (karume house) limechoka sana na hata vitendea kazi (vifaa) vinahitajika vya kisasa.
 
hebu subiri kidogo mpendwa,

imekuwaje kwa muda huo mfupi awe kapata mafanikio hayo na hasa ukizingatia kuwa bajeti yake ya kwanza ndiyo hii ya june/july 2011. nadhani mipango mingi ya hiyo ilianzia kwa karume.

in view of the aforesaid, bado navuta pumzi kumtathmini zaidi atakapotekeleza bajeti yake mwenyewe angalau kwa mwaka mmoja, kisha nitajua kama ni walewale tuliowazoea au huyu ni tofauti kidogo

ubarikiwe!

Japo aliyoyaanisha muanzisha thread yanawezekana, kwa maana ya kuwa kuweza kusimamia utkelezaje wake, lakini kwa the way una interrupt, kuhoji na kuchangia katika thread nyingi, naanza kukupenda......keep it
 
Back
Top Bottom