TANZIA Dr Ruthbetha Kateule (PhD) afariki dunia

TANZIA Dr Ruthbetha Kateule (PhD) afariki dunia

connections

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
2,775
Reaction score
3,842
Kinda katika sayansi na mifumo ya kompyuta nchini Dr Ruthbetha Kateule (PhD) hatunae. Kwa umri huo wa Miaka 38 (1987-2025) na PhD kaipata majuzi. Naamini mirathi haitaleta shida labda vyeti kibao. #KataaPhD#
IMG-20250409-WA0029.jpg
 
Kinda katika sayansi na mifumo ya kompyuta nchini Dr Ruthbetha Kateule (PhD) hatunae. Kwa umri huo wa Miaka 38 (1987-2025) na PhD kaipata majuzi. Naamini mirathi haitaleta shida labda vyeti kibao. #KataaPhD#View attachment 3300762
R.I.P Shujaaa wetu Msomi.

Lakini hakuna hata alikowahi tengeneza hata App/ software ya kutusaidia jamii?
 
Back
Top Bottom