Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Asante sana mimi pia nimefurahi ikiwa ushauri wangu umekusaidia ubarikiwenathamini sana mchango wako... madactri wengine wamekimbia hili jukwaa na umebaki peke yako, MZIZIMKAVU, NJIWA na wengine ... rudini humu wana JF bado wanawahitaji.
kuna tiba flani nilipata toka katika thread ya mzizimkavu ilinisaidia sana aisee..
long live JF doctor