Dr. Remmy Ongala alikuwa mwanaharakati

Dr. Remmy Ongala alikuwa mwanaharakati

20PROFF

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
8,217
Reaction score
7,255
Nimekuwa nikisikiza na kutafakari nyimbo na maneno ya huyu jamaaaa, nikaja gundua huyu jamaaa alikuwa mwanaharakati sana. Kupitia nyimbo zake amekuwa akielimisha na kukumbusha jamii kuhusu mambo yaliyotokea na yanaendelea, kiuchumi, kiutawala , kiimani pia. Alikuwa analeta awareness na kutaka waafrika tujitambue.

Amekuwa akizungumza kuhusu imani, kama hizi za ukristu na uislam ni dini za kuletwa lengo ni kutu program na kututwala. Mwenye nyimbo zake zaidi naomba aziweke hapa.
 
Dr Remmy....

 
Last edited by a moderator:
Wakati huo tuko wadogo tulikuwa tuna zamia bar ya magoma moto, au ukienda langata pale mziki hii ilikuwa inapigwa sana...
Vile vile na stereo kule ...ah imenikumbusha mbali sana.
R.i.p Remy ongala
 
Remmy alikuwa na createtivity na entertaining ya hali ya juu.
Wasani wa bongo fleva wakifa wanakufa na mziki wao, ila mziki ya kina remmy itaendelea kusikilizwa
 
Namkubali Dr.Remmy lkn napingana naye hapo kwenye imani kwamba zililetwa na Wazungu kutuvuruga,ninaamini yeye aliyaongea hayo Kimakosa au lah!,hakuwa amepata ufunuo wa Mungu,Ndiyo maana baadaye aliamua kuokoka tafsiri yake ni kwamba baadaye alibadili mtizamo na akatambua kuwa Dini hazikuletwa kutuvuruga bali kutuunganisha kwa njia ya Upendo na mwisho wa siku tuje tufike Mbinguni.
 
Aliimba mambo kwa soksi,Serikali ikapiga marufuku nyimbo hiyo kupigwa redioni,lakini sasa kampeni kubwa watu watumie kondom,elimu inatolewa mpaka mashuleni/Tv jinsi ya kutumia kondom..
 
Jamaa alikua kichwa sana hzi ni baadh ya nyimbo ambzo nazikubali mpka ksho Karola,Mariam wang,Kilio,Bwana mdogo na Kifo
 
Nimekuwa nikisikiza na kutafakari nyimbo na maneno ya huyu jamaaaa, nikaja gundua huyu jamaaa alikuwa mwanaharakati sana. Kupitia nyimbo zake amekuwa akielimisha na kukumbusha jamii kuhusu mambo yaliyotokea na yanaendelea, kiuchumi, kiutawala , kiimani pia. Alikuwa analeta awareness na kutaka waafrika tujitambue.

Amekuwa akizungumza kuhusu imani, kama hizi za ukristu na uislam ni dini za kuletwa lengo ni kutu program na kututwala. Mwenye nyimbo zake zaidi naomba aziweke hapa.

Taja nyimbo wewe acha maloloso
 
Nasikitika eeh! huu wimbo una mafundisho.
 
asante Sikonge kwa clip hii...nimeipenda sana...huyu jamaa alikuwa kichwa sana....
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom