Kuhusu vitalu vya gesi, Mengi ni dalali na hilo halina ubishi.
Kuhusu la report ya PAC ngoja tusubiri utetezi ili ukweli ujulikane.
Muhongo kakuta kesi inazungukazunguka tu na Mkono kila siku anakula hela ya Tanesco, akaamua kuwaita wadai na wadaiwa wakae chini wayamalize
yeye kosa lake nini?, kapata nini baada ya kuwa Dalali?, unaweza kuwa Dalali bila kupewa kitu?
angalieni sana hii Triangle ya Zitto, Mkono na Mengi, wanaonekana wazalendo sana kwa maneno, lakini Muhongo kawadhibiti mbaya na anawajua chini juu,
nikikumbuka kauli za muhongo dhidi ya wa-tz siamini kama leo hii ni yeye amechafuka hivyo. eti mitaji ya watanzania ni ya kuwekeza kwenye matunda na juice. alijaa dharau kupitiliza mpaka akataka kutoa CV ya ole sendeka kwamba ana elimu ndogo kushinda yeye msomi!
Kuhusu vitalu vya gesi, Mengi ni dalali na hilo halina ubishi.
Kuhusu la report ya PAC ngoja tusubiri utetezi ili ukweli ujulikane.
Muhongo kakuta kesi inazungukazunguka tu na Mkono kila siku anakula hela ya Tanesco, akaamua kuwaita wadai na wadaiwa wakae chini wayamalize
yeye kosa lake nini?, kapata nini baada ya kuwa Dalali?, unaweza kuwa Dalali bila kupewa kitu?
angalieni sana hii Triangle ya Zitto, Mkono na Mengi, wanaonekana wazalendo sana kwa maneno, lakini Muhongo kawadhibiti mbaya na anawajua chini juu,
huyu jamaa hafai hata dawa.Muhongo dalali mkuu
Hakuna game Mengi amepata kupoteza Vs kiongozi wa serikali.
- masilingi
- malima
- masha
- polisi
- now muhongo
issue ya ESCROW kweli ipo na ni wizi wa mchana kabisa, Muhongo kahusikaje hapo?