wakatanta
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 2,593
- 3,148
Sifa za marehemu baada ya kufa,uko sawaTanzania imepoteza Kiongozi, Mzalendo,Mfanyabiashara,Bilionea,Mwungwana na na Mpenda Haki.
Najaribu kuwaza kwa sauti kubwa iwapo Dr.Reginald Abraham Mengi angelikuwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchi yetu ingelikuwa wapi Kiuchumi na Kisiasa?
Karibu kwa michango na utupie maoni yako hapa.