Dr.Reginald Abraham Mengi angelikuwa Rais, Tanzania ingelikuwa sawa na Dubai

Tanzania imepoteza Kiongozi, Mzalendo,Mfanyabiashara,Bilionea,Mwungwana na na Mpenda Haki.

Najaribu kuwaza kwa sauti kubwa iwapo Dr.Reginald Abraham Mengi angelikuwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchi yetu ingelikuwa wapi Kiuchumi na Kisiasa?
Karibu kwa michango na utupie maoni yako hapa.
Sifa za marehemu baada ya kufa,uko sawa
 
Back
Top Bottom