Kada kulinda maslai kiroho si kadaMzee hujui kama huyo Mzee ni Kada
Kada kulinda maslai kiroho si kadaMzee hujui kama huyo Mzee ni Kada
Yaani mengi anajulikana na watanzania wote? Hii ni akili kweli hii? Nakushauri kwa akili uliyonayo usije ukaoa maana utaolea watu!Wewe ni mpumbavu sana ni Heri ya mjinga anaweza kufundishika..! Nimekuuliza nitajie hiyo sehemu ya Tanzania ambako hawamjui Mengi au IPP media hazisikiki wala kuonekana hujataja hiyo sehemu badala yake unaleta ubishi wa kike......! Endelea kukaa na upumbavu wako......!
Chadema pekee yao viongozi wao hawana msimamo Lowasa fisadi kisha Lowasa siyo fisadi
Tanzania imepoteza Kiongozi, Mzalendo,Mfanyabiashara,Bilionea,Mwungwana na na Mpenda Haki.
Najaribu kuwaza kwa sauti kubwa iwapo Dr.Reginald Abraham Mengi angelikuwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchi yetu ingelikuwa wapi Kiuchumi na Kisiasa?
Karibu kwa michango na utupie maoni yako hapa.
Yaani mengi anajulikana na watanzania wote? Hii ni akili kweli hii? Nakushauri kwa akili uliyonayo usije ukaoa maana utaolea watu!
Kwa sababu ITV imekuwa kama CNN au BBC?Tanzania imepoteza Kiongozi, Mzalendo,Mfanyabiashara,Bilionea,Mwungwana na na Mpenda Haki.
Najaribu kuwaza kwa sauti kubwa iwapo Dr.Reginald Abraham Mengi angelikuwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchi yetu ingelikuwa wapi Kiuchumi na Kisiasa?
Karibu kwa michango na utupie maoni yako hapa.
Angekuwaje Raisi? Watu wa kaskazini hawaruhusiwi kushika dola kwa namna yeyote ile. Tabia yao ni ngumu sana kuipeleka katika ngazi ya kimataifa!Tanzania imepoteza Kiongozi, Mzalendo,Mfanyabiashara,Bilionea,Mwungwana na na Mpenda Haki.
Najaribu kuwaza kwa sauti kubwa iwapo Dr.Reginald Abraham Mengi angelikuwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchi yetu ingelikuwa wapi Kiuchumi na Kisiasa?
Karibu kwa michango na utupie maoni yako hapa.
CHADEMA vipi mbona hukuitaja? au chenyewe siyo chama mfu?Dr.Mengi hakuwa na akili za kipoyoyo za vyama mfu kama CCM na vibaraka vyake kama CHAUMA,TLP,CUF LIPUMBA, NCCR Mageuzi n.k.
Kama ni kuwa Rais angelitakiwa agombee kama MGOMBEA BINAFSI na si kupitia chama cha wendawazimu kama CCM na vibaraka wake......!!
Ww kaa na huo ujinga khwa mengi anajulikana na watz wote! Kama ulifaulu form 4 kwa akili hiyo basi kuna shida sana kwenye elimu yetu hiiUnaweza kuniambia wewe ulimjuaje Dr.Mengi?
Kwa njia hiyohiyo hata Watz wote wamemjua Dr. Mengi.....!
Umesahau wewe aliyeanza kumwita Lowasa fisadi ni viongozi wa ufipa pale mwembe yanga.Cdm hakuna kiongozi hata mmoja mwenye msimamo na maneno anayoyanena kutoka ktk kinywa chakeCCM walimkataa Lowassa kwenye mchakato wa mgombea Urais 2015 kwa madai ni Fisadi.....!
Umesahau kile kibwagizo cha "TUNA IMANI NA LOWASSA" mpaka CCM mkajichanganya na kuteua kichaa aingie Ikulu......leo wote mnasomeshwa namba kama wapinzani..!
Juzi Lowassa KARUDI CCM NYUMBANI na hatusikii tena kibwagizo cha " LOWASSA NI FISADI"!!
....Siyo Kilimanjaro ingekuwa kama Dubai?,.?bcoz kampuni yake inawachaga watupu
Naam......! ITV inaitwa Superbrand au hujasikia hiyo?Kwa sababu ITV imekuwa kama CNN au BBC?
Tusibishane.Naam......! ITV inaitwa Superbrand au hujasikia hiyo?
UpuuziTanzania imepoteza Kiongozi, Mzalendo,Mfanyabiashara,Bilionea,Mwungwana na na Mpenda Haki.
Najaribu kuwaza kwa sauti kubwa iwapo Dr.Reginald Abraham Mengi angelikuwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchi yetu ingelikuwa wapi Kiuchumi na Kisiasa?
Karibu kwa michango na utupie maoni yako hapa.
Nilijua unapointi kumbe ndo wale wale wala ba...... Za ChugaCHADEMA is another level......!
Tofauti ya CHADEMA na CCM na vibaraka wake iko dhahiri sana. Ni chama pekee ambacho viongozi wake wakuu na Wabunge wana kesi mahakamani kuliko vyama vyote.....!
Ni chama pekee ambacho Mbunge wake amenusurika kuuawa mchana kweupe.....!
Ni chama pekee ambacho kuna Viongozi na Wanachama wake wamepotea katika mazingira ya kutatanisha kwa visingizio vya kutekwa na watu WASOJULIKANA.......na bado wanaendelea kutekwa na kupotezwa.....!