Dr Ramadhani Kitwana Dau aula tena ISSA

Dr Ramadhani Kitwana Dau aula tena ISSA

MrNSSF

Senior Member
Joined
Mar 17, 2011
Posts
136
Reaction score
73
1.jpg


Dr RAMADHANI DAU akiwapungia wananchi kwenye gari la Open Roof

kwa habari zaidi soma hapa:

Chanzo: MICHUZI BLOG
 
huyu jamaa ndiye alitoa wazo la kuikopesha hela serikali ili iweze kujenga daraja la kigamboni. jamaa anaona mbali zaidi. mia
 
Ulimbukeni (ujinga?)! Angepata ukatibu angekodi helcopter ya wazi.



Usikurupuke mkuu ungefungua hiyo Link kwanza.Hiyo Picha hapo juu haihusiani na yeye kuchaguliwa kuendelea kushika wadhifa huo ISSA.
 
kuna baadhi ya nafasi na taasisi hata uwekilaza kiasi gani utaonekana una perfom tu! ni sawa na Messi alivyo Barcelona......
 
wakuu kabla cja google,hivi brazil kuna mji unaitwa natal?
 
Wajina hobgera sana kwa uchapakazi wako na hatimaye wakuu wakakukubali juu ya utendaji wako,
Fitna ni jambo ulialo kama lazima likufuke, usijali Mungu atakulinda nao.
 
1.jpg


Dr RAMADHANI DAU akiwapungia wananchi kwenye gari la Open Roof

kwa habari zaidi soma hapa:

MICHUZI BLOG: Dkt. DAU ateuliwa tena kuwa Mjumbe wa Bodi ya International Social Security Association (ISSA)

Dr Dau Mungu akuzidishie ufike mbali zaidi pamoja na wachache wanaochukia mafanikio yako lakini tupo wengi zaidi tunakutakia mafanikio, wengine wabishi asilia hawataki kuona wapi Nssf ilikwepo na wapi ipo, wanakosoa kila kitu kumbuka mti wenye matunda ndio hupigwa mawe.
 
Kila la kheir Dkt Dau, wanakuponda kwa kuwa wanakukubali sana kiutendaji hata Dkt Pombe Magufuli siku ya uzinduzi wa ujenzi wa Daraja la Kigamboni alimhoji Kikwete Hadharani iweje mpaka leo Dau hajapewa Tuzo ya Utendaji uliotukuka japo ndio Pension Fund Bora Zaid Tanzania na imefanya mengi makubwa!
 
Jamaa ni mchapa kazi, ndio maana shirika lake linafanya vizuri. Mkapa alimpenda sana, kiasi cha kumrecommnd uwaziri katika serikali ya JK

msaniii wa pensheni yetu, hana lololote, misifa ya kisanii; wanyonyaji wakubwa wanakukata hela; halafu mpaka ustaafu wezi wakubwa; misiffaaa tu linataka ubunge
 
Back
Top Bottom