Elections 2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

KAZI TU Chakaza Rafikiangu upoooo
Nipo ndugu yangu MOTOCHINI na hongera kwa mtu wako kutangazwa mshindi (sisemi kushinda). Yote sawa tuu na maisha yatasonga kwa slogan hiyo ya Hapakazituu.
ila uchaguzi huu ulikuwa na mambo ambayo huwezi kuamini hasa katika majumuisho ya kura. Kuna mambo mie nilishika mdomo sikuamini kuwa yanaweza kutokea. Mie nilidhani ni huu ushabiki wetu tuu wa ki JF kumbe kuna mambo makubwa mno. Wewe ni pm nikujulishe maana siwezi kuyaandika humu, ni mazito.
 
Last edited by a moderator:
Hakika kilichofanyika Zanzibar na Tanganyika ni "Mapinduzi" ya Maamuzi sahihi ya Wananchi..Naam,Maamuzi mujarab ya Watanzania yamepinduliwa tena kwa kile kinachotafsiriwa kuwa ni demokrasia ilihali ni ubakwaji mkubwa wa HAKI kwa kupiga mikwara vyombo vya habari,kuvamia Kituo cha Haki za Binadamu,Kuwapora Wapinzani vifaa vya kukusanya takwimu na kukataa Maamuzi sahihi ya Wananchi katika sanduku la kura!!!Dhambi hii haitoishia hapa,tumepanda mbegu hatari ya kutufarakanisha,yumkini isiwe leo..Ila siku itakapofika ukimya huu wa Walioporwa haki utageuka kuwa uchungu mkubwa sana ambao haujawahi kutokea!!!..Najaribu kutafakari kwa sauti!!!
 
Tatizo mnaleta hoja zilizokufa.

Wenzenu wanaangalia ni namna gani JPM ataunda serikali itakayosaidia kutatua kero za wananchi.
Yaani unawaza namna ambavyo JPM ataunda serikali? Mbona liko wazi kabisa kwamba ataunda kwa kuteua waziri mkuu na mawaziri kutokana na wabunge wa chama chake waliopo? Huo si ndio utaratibu wa siku zote wa kuunda serikali? Hilo nalo ni la kuwaza?
 
Kwa mara ya kwanza kabisa Tanzania, tumeshuhudia mioyo ya Wanzania wengi ikiinama na kuhuzunika sana, Lakini ni kwa mara nyingine tena Mungu akijibu maombi ya Watanzinia, Kwani tuliomba Amani,na Mungu akatupa Amani, Lakini tulisahau kumuomba Mungu HAKI itendeke Tanzania. Tuliona na kusikia watu na watumishi wa Mungu wakisema waliyoonyeshwa na Mungu kuhusu uchaguzi na waliyoonyeshwa yalikua machafuko, wengine wakamtaja Mbowe ili aombewe na watu walifanya hivyo na Mungu akatusikia maombi yetu na kutupa Amani. Tunapaswa Kufanya haya
(1) Watu wote kwa imani zetu tumshukuru Mungu kwa kujibu maombi yetu ya kutupa Amani na tutoe sadaka ya shukurani.
(2) Watu wote kwa Imani zetu Tumuombe MUNGU atupe HAKI yetu kwa Amani kwani haki huinua Taifa na MUNGU atatupa HAKI hiyo haraka, kumbuka kilio cha wana wa iziraeli MUNGU alikisikia na akawaokoa kutoka kwa farao kwa mkono wake wenye nguvu, farao alikua na majeshi, bunduki na magari ya deraya,wana wa Iziraeli walikua hawana chochote mikononi mwao,wala hakuanzisha vita wala maandamano, lakini haikuzuiya Mungu kuwapa haki yao ya kua huru, Aberinego na wenzake MUNGU aliwapa haki yao kwa kuwakomboa kutoka kwa mfalme nebkadreza, na watanzania hawana majeshi, bunduki wala magari ya deraya bali kwa maombi yetu MUNGU atatupa haki yetu kwa amani. Mungu hachelewi wala hawahi bali siku zote ni Mtimilifu na mkamilifu
(3) Kwa Sababu sauti ya wengi ni sauti ya MUNGU na kwa sababu aiyepata kura nyingi ndio chaguo la Mungu je Mungu hatasimama na kujichukkulia utukufu wake mwenyewe, je Mungu hatasikia maombi ya watanzania na kuwapa HAKI yao ili nchi yao inuke? je MUNGU atamwacha shetani achukue utukufu wake mbele ya watu wake?
(4) Tuwashirikishe watumishi wa MUNGU, marafiki, waombaji ndani na nje kwa MAOMBI ya Tanzania na watanzania Kupata HAKI Yao ili nchi yetu iinuke, tukiacha kumwambia Mungu mioyo ya Watu wengi ikaendelea kuinama, nchi nayo inainama na hatutakua na maendeleo, kumbukwa furaha ya watanzania iliyokua kipindi cha serekali ya awamu ya pili, baada ya uchaguzi wa mwaka 1995, Watanzania mioyo yao ilinama na mpaka sasa mioyo yao hakuinuka, na nchi ilinama na mpaka sasa haijainuka kwani kila siku watu hawana furaha ni malalamiko tu, uchumumi hauendi mbele, serekali haiwezi kutusaidia, bali Mungu anaweza yote. Tuingie kwenye Maombi ya watanzania kupata HAKI yao iliyopokwa na Shetani na tutaona mkono wa Mungu ukitoa HAKI ya Watanzania, Amen.
 
Hebu tufanye prediction kidogo ya mambo yatakayoongewa au kugusiwa sana sana na rais wetu mteule siku atakapokua anaapishwa au kufungua bunge au sehemu yoyote kama speech yake ya kwanza kama rais..,,
 
Hebu tufanye prediction kidogo ya mambo yatakayoongewa au kugusiwa sana sana na rais wetu mteule siku atakapokua anaapishwa au kufungua bunge au sehemu yoyote kama speech yake ya kwanza kama rais..,,

Wewe bhana hiyo Id yako mimi naiogopa usije ukamdhuru rais wetu.
 
Mie nasherehekea nikiwa kitandani naumwa, ila nimefurahi sana aisee, sasa ni kazi tu.

Pole sana dogo nitakuja kukucheki nikitoka hapa Lumumba.

Ugua pole na Jiandae kwa mchakamchaka Wa kazi tu
 
Hahahaha Chakaza nduguyangu hapakuwa na jinsi, vyovyote kubwa kununua ikulu ishindikane lowassa hana hata chembe ya kuingia ikulu tuyaache niwakati wa kufanya kazi sasa
 
Last edited by a moderator:
Sasa kulalamika kwako mitandaoni kunakusaidia nn? Walio wenngi wameamua!
Wezi wa kura ndio walioamua, sio walio wengi. Unaniuliza kulalamika kwangu mtandaoni kunanisaidia nini, kwani wewe kunijibu mtandaoni kumekusaidia nini?
 
Mimi huku niliko ni shangwe tu...

Watu wanaimba 'Lowassa.....Tumemkataa'
Lazima utakuwa Mirembe Dodoma....

Pamoja na maneno yako pita pita ako kwa sasa utakuwa ushakiri maneno yangu....


''Bala Always in Dodoma''

Raisi wa CCM muhahahahahaha
 
Hapo hawajaiba wangeiba hata hzo m6 asingezifikisha bubu wenu, unaenda tongoza huna maneno ya kuvutia unategemea nn? Hahaa Lowasa dhoofu "mbowe 2015
 
Hii awamu ya urais ambayo Magufuli ndiye Rais wake ina maswali mengi ya kujiuliza.Kwamba ni ya tano sio tatizo sana.Tatizo labda ni huyo mtu anayeongoza kwa kuwa anaapishwa tarehe 5,namba ambayo inajirudia.Awamu ya 5 inayoapishwa taehe 5.(?) Cha kushangaza zaidi awamu hiyo inaapishwa tarehe 11 ambaye ni "signature" ya Freemason(wanaojua wanajua).Tena anaapishwa akiwa na umri wa miaka 56(5+6=11).Namba 11 inajitokeza tena.Lakini ukiangalia umri wake utagundua pia kwamba kuna namba 5 na 6.Namba hizi ni muhimu sana kwa Freemason(Wanaojua wanajua).Pia symbol ya campaign yake ina maswali mengi.Nayo ni symbol ya Freemason(mkono ulioshika mwenge katikati ya M).

Swali la kujiuliza ni kwamba hii, ni coincidence au JPM anajua kinacho endelea?
 
Last edited by a moderator:
Rais wetu mpendwa Daktari Magufuli tunakupenda sana watanzania.
 
Majizi makubwa haya.....Mungu ayalaani !


Tunataka viwanda, dawa, elimu bure mpaka form 4 though elimu mpaka hapo... maji yawe historia kama alivyoahidi.

Kwani wewe hukujua kwamba kupiga kura bila katiba huru ni kupoteza muda.Usirudie kosa hilo tena.


Ukanda Upi wewe takataka? Ina maana Kanda ya Kaskazini Pekee ina wapiga kura asilimia 42?



Shule zao zipo maporini wanakakia mawe ndio wanaoongoza kwa kutoa mashamba boy na mabeki tatu!

Upo sahihi kabisa ila hawa Ukiwa wameng'ang'ania 6, 772, 848

Tumieni akili nyie vilaza, hesabu yakura za JPM Ni pamoja na zile zilizokamatwa ndani ya gari zikiwa zishampa ushindi diwani, Mbunge na rais.
Hiyo Ni strategy ya ccm kuendelea kukomba mali zanchi na gesi ndo inawafanya wawekezaji uchwara kudodoka udenda. Na ndani ccm tayari Kuna syndicate ambayo inapora mali za nchi kila kukicha.
 
Hivi Janeth Magufuli ni mzaliwa wa wapi? Nime-Google John Magufuli historia ya mmewe haielezi much (if any) about her or the family in general. Najua ni mwalimu lakini nilitegemea Wikipedia ingekuwa na more information. It's for my own understanding -no shade.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…