Dr Peter Dalaly Kafumu apata ajali

mungu ampe afya dalaly kafumu apone haraka aaamin
 
Too low wamloge hili nini?always anayekuwa wakwanza kufikiria imani za kishirikina na yeye ni mshiriki katika hayo mambo kwahiyo anajua mpangilio wake.
 
Tuombeane kheri, suala la ubinadamu libaki kuwa nembo ya Taifa. Poleni wote mliopata Ajali hii, Mungu awape nafuu mapema mrudi kulitumikia Taifa.
 

Kama mganga wa kienyeji ambae elimu ya kawaida hajaenda alafu watu na elimu zao na wengine ni wachumi waandamizi wanashika kile wanachoambiwa na kukisambaza hata kama sio cha ukweli basi usomi wao una shida. Pongezi kwa waganga wa kienyeji kwa kujenga uaminifu kwa wasomi ka Nchemba maana nyie ndi wasomi kuliko wao
 
Barabara bovu limemwangusha mbunge eliyeahidi kulijenga.igunga kaeni macho na wake zenu kama chemba yuko huko.
 

nampa pole sana mtanzani a mwenzetu huyo, na tunamwombea apone haraka. Isipokuwa comment ya mh. Mchemba... That's a very low level of thinking, he has to distinguish himself with a mere layman.

La pili; hiyo comment ya dr. Kigwangala , je mleta habari umemnukuu au umemtafsiri kwa maneno yako? Kwasababu kwa level yake asingeweza kusema " bruises zinazavuja damu sana" kitaalam.. Bruises ni michubuko tu na haiwezi kuwa inavuja damu sana (active bleeding) au la isingekuwa michubuko bali neno lililotakiwa kutumika ni lacerations na sio bruises. Naomba kuwasilisha.
 
Ccm ni kama wameambiwa waongee lolote saa yoyote,mahali popte...yani chochote haijalishi liwalo na liwe.
 
Basi kama CDM wameweza kusababisha ajali kwa dumba ipo siku JK atapata ajali aliyoandikwa na Mungu mtaihusisha na CDM. Jamani tukue tuache ujinga.
 
Reactions: Ame
Hapo kwenye bold ni kweli mkuu au unanogesha story tu ili ipate wachangiaji wengi?

Mkuu ni kweli uchawi umesemwa tena wazi kabisa. na matusi mengine mpaka Jaji aliyehukumu kesi ya Dr kafumu. Kwa mwendo huu na kutumia watu wa aina hii ni kuidhalilisha CCM na Kafumu zitaendelea kumgharimu sana kauli hizi za kina Nchemba.
 
Alienda kukata rufaa yaani haamini kwamba Matusi, Vitisho na Mabaya mengi yaliyo fanyika katika kipindi cha kampen kule ndio chanzo haamini? Basi kama ndio hivyo atakuwa na matatizo ya kuelewa mambo au anataka kufa na ubunge kichwani?
 
Mungu akuponye Dr. Kafumu and may holyspirit's comfort be with you in this difficult and painful moment!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…