Kweli ni huzuni kubwa, alikuwa mtu mcheshi, mwenye hekima, busara na msaada mkubwa. Nakumbuka nilikutana naye ofisini kwake tarehe 27/10/2010. Tuliongea kwa muda wa kama dk 20. Ninapoumia zaidi ni pale ninapokumbuka yale tuliyozungumza na kupanga kuanza kuyafanyia kazi katikati ya mwezi wa 12. Kumbe hatukujua kuwa hatutakutana tena.
Ina Lilahi Waina Ilayhi Raj'un.