Maida Mari
Member
- Dec 15, 2011
- 57
- 9
Waislam leo wameweza kuandamana bila ya kuitisha Press conference wala kutangaza kwenye media yoyote kama vile walivyofanikiwa kususia sensa pamoja na hila nyingi za serikali pamoja na shoga zao wa muda, hakuna hata Aliesukumwa,hakuna uporaji,hakuna uvunjifu wa amani,wanngetangaza maandamano basi wale mawakala wa serikali wangewahi kuchoma moto makanisa,kuchoma moto magari ili ionekane wamechangia uvunjifu wa amani,
well done