Dr. Nchimbi, the beginning of an end

Dr. Nchimbi, the beginning of an end

bnhai

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2009
Posts
2,846
Reaction score
2,401
Nchimbi hakugombea ubunge kule Songea. Alitoka mbio kupinga maamuzi ya kamati kuu ya CCM kumpitisha Lowassa. Hakuhama chama. Akarudi kuiomba kamati kuu impitishe awe mgombea uspika, ikambwaga. Nini hatma yake? Je, ndio amefika ukingoni katika siasa?
 
Mh hakugombea ubunge kule Songea. Alitoka mbio kupinga maamuzi ya kamati kuu ya CCM kumpitisha Lowassa. Hakuhama chama. Akarudi kuiomba kamati kuu impitishe awe mgombea uspika, ikambwaga. Nini hatma yake? Je, ndio amefika ukingoni katika siasa?

Ndani ya CCM ukienda kinyume na matakwa yao umekwisha hata kama unasimama katika ukweli, huo ni mwazo tu kwake wa machungu kwa kupingana na maamuzi ya wakubwa wake. Na bado kwa wengine akina Sofia. Tofauti yake na sofia ni kwamba Sofia ni mwanamke, hivyo hata treatment zao zitakuwa tofauti.
 
Mh hakugombea ubunge kule Songea. Alitoka mbio kupinga maamuzi ya kamati kuu ya CCM kumpitisha Lowassa. Hakuhama chama. Akarudi kuiomba kamati kuu impitishe awe mgombea uspika, ikambwaga. Nini hatma yake? Je, ndio amefika ukingoni katika siasa?

Dawa imfaayo mnafiki siku zote ni psychological torture tu!
 
Aliamua kuwa vugu vugu badala ya kuchagua kuwa moto au baridi; ona sasa mungu wake ccm kamtapikaaa...
 
Nchimbi ni kijana, anayo nafasi ya kuendeleza mapambano ya kisiasa.

Naomba title ya mada isomeke kuwa 'Dr. Nchimbi: The End of the Beginning'. Mapambano kuelekea 2020 ndiyo kwanza yameanza!
 
Nchimbi bado ana nafasi na zaidi ya hapo ni mpambanaji mzuri sana.
Nafasi anayo, ni nafasi ipi? Ndani au nje ya CCM? Alijiandaa au amejiandaa vipi baada ya kuwatuhumu wapiga kura wa kamati kuu kwa kutofuata taratibu? CCM HUIMBA "CCM NI ILE ILE".
 
Lowasa alianza kukataliwa CCM akiwa na umri mdogo......Nchimbi ameanza kukataliwa CCM akiwa na umri mdogo..
...Nchimbi yampasa kuhama ccm
 
Nchimbi ni kijana, anayo nafasi ya kuendeleza mapambano ya kisiasa.

Naomba title ya mada isomeke kuwa 'Dr. Nchimbi: The End of the Beginning'. Mapambano kuelekea 2020 ndiyo kwanza yameanza!

2020 Magufuli ataendelea kupitia ccm unless kama Nchimbi atahama na lowasa....his best chance will perhaps be kurudi mjengoni...
 
Kusema haki haikutumika ndani ya kamati kuu ndicho kinachomla Nchimbi! Visasi vya kijinga tena wakubwa ni vibaya na ni kiburi na machukizo hata kwa mola. na watoto wao watakuja kufanyiwa hivyo hivyo kwani ni laana!
 
Soon tutamsahau kwenye ulingo Wa siasa mbaya zaidi anasahaulika akiwa bado kijana..
 
Duh kweli CCM wababe sana Dr wetu ndio hivyo tena kwishey.
 
Back
Top Bottom