Dr Nchimbi apeta!!!!!

Nasikia huyu jamaa(Nchimbi) ni mtu wa 'kupuliza' sana.

Hawa wanaweza hata kuwatia wapulizaji aibu kwa mwendo huu. Mtu anatukanwa mpulizaji, halafu katika kutukanwa huko wapulizaji wanaona wao ndio wametukanwa kwa jinsi jamaa alivyo ovyo.
 
1. Huhitaji kujua mimi nimeifanyia nini Tanzania ili kuweza kuniambia mimi Nchimbi kaifanyia nini Tanzania. Kama kuna kitu kiko wazi ambacho Nchimbi kaifanyia Tanzania, hiki (achievements) hakitakiwi kufichwa na wapenzi na washabiki wa Nchimbi, hakitaki mbinde za biashara za kubadilishana "wewe niambie umeifanyia nini Tanzania ili mimi nikwambie Nchimbi alichoifanyia Tanzania". Kiongozi mwenye accomplishment wala hahitaji kuulizwa yeye wala wapambe wake, kazi yake inaonekana. Na akipewa nafasi ndogo tu ya ku expose kazi zake kuna kitabu kizima cha kuandikwa, wala hawezi kuanza kushughulika kuchelewesha mjadala wa maswala aliyofanya. Ukiona mtu/ mpambe anaanza kuchelewesha mjadala kwa kuuliza viswali visivyo akili kama "kwanza wewe umeifanyia nini Tanzania" hapo unaona, ahaaaa, hapa watu hawana jibu, wana buy time tu kuangalia utasema nini. Hawana la kusema.

2. Mimi sijaomba uongozi. Sihitaji kufanya makubwa. Nikisema nimeitumia familia yangu US $ 1,000 kwa Krismasi juzi, na namlipia cousin wangu gharama za Chuo cha udaktari ili kuongeza madaktari Tanzania, na kusaidia watu to the tune of thousands of dollars a year, that is more than enough. Naweza kufanya mambo madogo tu kama kupeleka fedha kusaidia familia yangu Tanzania nikanawa mikono. Sijaomba dhamana ya uongozi. Kwa hiyo usitake kufanya standard ya kazi yangu mie nilieamua kupiga kura na miguu yangu bila kuomba uongozi na huyo Nchimbi anayekula kodi ya wananchi kuwa sawa. Hatuwezi kuwa sawa.

Wanasema "Noblesse Oblige". To whom much is given, much shall be required. I wasn't given much in terms of responsibility, therefore what is required of me is not much. Those who asked for much in terms of leadership / privileges, must be held highly responsible, accordingly.Not on a par with the Kirangas of this world.

Huwezi kutaka Kiranga ambaye hajachukua VX wala nyumba kwa dhamana ya wananchi wa Tanzania, hakai katika cabinet ya Tanzania wala kwenda mjengoni Dodoma, aulizwe kafanyia nini Tanzania on the same par with Dr. Nchimbi ambaye ana influence zote za kiserikali.

Kwa kufanya comparison hii tu unajionyesha wewe ni mmoja wa hao burlesques usiyejua kinachoendelea.

Mkuu I feel sorry for you; maana unatumia nguvu nyingi sana kupambana na mmoja wa "graduates" toka shule za kata!! Shule ambazo "komredi" Lowasa anajisifia kila kukicha kuwa ni mafanikio ya uwajibikaji wake!!

Ukiona mtu anaongelea kiongozi kusalimiana na watu vizuri, ina maanisha ni kiongozi bora, baaasi tena.

Happy new year!!
 
Back
Top Bottom