Dr Nchimbi apeta!!!!!

Kheri ya mwaka mpya Dr. Nchimbi. Lakini na mimi pia ningependa kupata maelezo kidogo kuhusu mtu ambaye tayari ana PHD (ya darasani) anavyoendelea kusoma PHD ya pili. Tumekuona unahitimu juzi Mzumbe University lakini umekuwa na prefix ya Dr. kwa muda mrefu. Kama hiyo ya mwanzo ilikuwa ni ya heshima (honorary) tupe mwanga kidogo.
Ni swali zuri sana lakini huyu nchimbi hajawahi kuonekana hapa jf unless kama anatumia majina ya siri.sasa ujumbe huu ataupataje kamanda?
 
Ni swali zuri sana lakini huyu nchimbi hajawahi kuonekana hapa jf unless kama anatumia majina ya siri.sasa ujumbe huu ataupataje kamanda?
Nadhani jibu analo mwenyewe Dr Nchimbi, ila kwa mtizamo wangu ni kuwa yeye hakutaka kujiita Dr ila vyombo vya habari na vihelehele vya baadhi ya wahusika ndiyo walikuwa wanapamba, pia upatikanaji wa hizo PhD ilikuwa kama DECI kwa hiyo waliongia chaka ndiyo waliopotea, ila nadhani uamuzi wake wa kwenda shule ulikuwa ni wa busara zaidi. Pia hata kamala naye yupo class Mzumbe na ninadhani next year atagraduate.
 
Nadhani wengi wanatumia majina fake hapa so.. hata yeye anaweza kuwepo ila akatumia jina lingine.

kitu ambacho kwa mawazo yangu siyo kizuri kwani hatuvunji sheria za nchi sasa kwa nini mtu ujifiche..
 
Tupatie hiyo thesis, mbona maelezo marefu hivo?

Typical kwa wabongo kusifia title bila kuangalia kazi na results.

"Dr" Nchimbi na PhD yake kafanya nini?

Oh, I forgot. Kaamrisha kamati ya Kusaga itupe vazi la taifa katika siku kadhaa.

Dr. huyo na PhD yake, twafwaaaa.
 
E bwana nimecheka sana, yaani hata akijinyea.....!!! hawezi kufuta PhD ya mshikaji, wewe noma! ni Great Thinker kweli!!
lolz, we endelea kucheka tu ila wene busara wameshaona harufu ya kinyesi inatokea pande zipi hapa..btw, inaonekana huko kwenu PhD is a big deal ndio maana mnachakachua as a result mnaona hata aibu kuonesha thesis zenu.. Sina shida na u-dr wa Nchimbi wenu, I am not recruiting none, if i were recruiting i would go for Prof. Maji Marefu..#priceless.
 
Typical kwa wabongo kusifia title bila kuangalia kazi na results.

"Dr" Nchimbi na PhD yake kafanya nini?

Oh, I forgot. Kaamrisha kamati ya Kusaga itupe vazi la taifa katika siku kadhaa.

Dr. huyo na PhD yake, twafwaaaa.
Ndio hapo chacha...
Mtu ukiuomba thesis yake unazua ugomvi na kuwa adui.
I wonder why I am not surprised with such shocking reaction.
 
Hivi unajua maana ya Thesis? unafahamu vigezo mpaka vya kufikia kupata PhD? kama unajamaa yako muulize au ni pm nikuelekeze! Unavyodhania kama ni rahisi siyo hivyo na usidhani PhD unaweza kupata favor tofauti na za online! Za vyuo huwa mpaka uchakalike. Jamaa anahitaji pongezi tu kwa hilo! Kama unabisha jaribu uregister Mzumbe au UDSM uone moto wake.

Mzumbe? u cant be seriuos bro! do they have serious supervisors there, i wonder! Tena kwa kujuana unapata PhD kiulainiiiiiiiiiiii. Kuna waziri mmoja binafsi najua kuanzia data collection, analysis hadi writing kasaidiwa na washikaji zake alosoma nao bachelor ambao wanafundisha chemistry department chuo kimoja ambao pia ndo walikuwa supervisors wake. Yeye alikuwa anafinalize mambo tu.

Ukiwa mwanasiasa kila kitu kinawezekana nchi hii.........kuanzia wizi, hadi elimu achilia mbali mambo mengine.
 
Mzumbe? u cant be seriuos bro! do they have serious supervisors there, i wonder! Tena kwa kujuana unapata PhD kiulainiiiiiiiiiiii. Kuna waziri mmoja binafsi najua kuanzia data collection, analysis hadi writing kasaidiwa na washikaji zake alosoma nao bachelor ambao wanafundisha chemistry department chuo kimoja ambao pia ndo walikuwa supervisors wake. Yeye alikuwa anafinalize mambo tu.

Ukiwa mwanasiasa kila kitu kinawezekana nchi hii.........kuanzia wizi, hadi elimu achilia mbali mambo mengine.
Nadhani wewe ndiye haufahamu taratibu zilivyo. Kwanza nina uhakika 100% hukuwa na access na hayo unayoyasema ndiyo maana unakuwa muongo. Data collection unaweza kufanyiwa na mtu yeyote hiyo ktk research inaruhusiwa, Data analysis pia ni jambo la utalaamu, je kama huyo jamaa alikuwa anaelekezwa. Kwa ufupi watanzania ni wanafiki sana tena sana, leo hii Mzumbe mnaikandia lakini mnapokuwa Mzumbe mnatafuta elimu mnajidai mpo karibu na lecturers ili mpate kusaidiwa, lecturers wanajitahidi kuwa karibu na wanafunzi kuwaelekeza mpaka vitu vya msingi leo hii mnakiita chuo bomu, mlimani ambao hawana customer care ndiyo mnawatukuza, huu ndiyo ujinga wenu wachache ambao nadhani hamuifahamu Mzumbe na system zake. Kwa ufupi nikueleze ni kuwa Mzumbe ni chuo kinachojali sana wanafunzi wake, kinapenda mtu afanikiwe, kinaelekeza kwa unyenyekevu na hawana longolongo ktk kufundisha pia hawakomoi mwanafunzi. Pia nadhani wengi mnakandia Mzumbe hamukupata nafasi ya kusoma pale au mlidisiko, muache ujinga, Mzumbe inasonga mbele na daima itasonga mbele!!!!
 
Hivi hizo PhD haziwi published popote?? Nashangaa mtu ana PhD mbili lakini kwenye Google scholar jina lake lipo kwenye page mmoja, tena linaappear once!!! emmanuel nchimbi - Google Scholar

With two PhDs alitakiwa awe kwenye page atleast 10 hivi. Otherwise haina maana ya kufanya PhD!!
 
Kamanda achana na ujinga wa hawa watu ambao wanabeba maboksi ulaya.....hakuna phd ambayo inatolewa na chuo kimoja.external lazima awe wa nje na kwa taarifa yao external wa nchimbi alikuwa ni wa udsm na alimpa mksi myingi kuliko wa mzumbe.....ok na kama kuna kufanyiwa na viva voce anafanyiwa pia....kaa kujenga hoja ukiwa ni mjinga wa hilo jambo ni hatari sana.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom