Dr Nchimbi ameunda Kamati sio Tume

mgomba101

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2011
Posts
1,822
Reaction score
711
Wizara ya mambo ya ndani imetoa statement kwamba waziri Dr Emmanuel Nchimbi ameunda Kamati ya kuchunguza tukio la kifo cha Daudi Mwangosi na sio Tume.

source: habari za saa{ITV}


 
Leo nimesikia ambacho bado masikio yangu hajaamini ,imetangazwa kuwa ile iliyoundwa kuchunguza mkasa mzima wa matukio ya mauaji ya Daud Mwangosi(R.I.P) sio tume bali ni Kamati, hiki nikichekesho cha machana kweupe kama viongozi tulionao tena wenye hadhi ya Udaktari basi tunakazi kubwa sana .Zamani kabla ya Uhuru wa vyombo vya habari tulidanganywa sana, jamani hata leo kwenye utandawazi kila taarifa watu wanazo bado tunadanganywa?Hivi hamtaki kukiri kama mlikosea .Waziri wa Mambo ya Ndani tuombe radhi kwa kudanganya kuwa imeundwa tume kumbe huna Mamlaka nayo.
 
Si muliwachagua wenyewe haya muone sasa.
 


kama ile 'kuna bomu lilirushwa' ya kamuhanda
 
Ha ha ha unacheza na Lissu na CDM wewe wamevurumisha sasa wanaanza kuuma maneno ni kamati tena sasa kamati huwa zinafanya uchunguzi au ndio wanataka kujiadhirisha tena
 
ha ha ha sasa iweze ameunda tume ya kuchunguza kifo cha daud mwangosi? Lissu kawaumbua kwel kwel ha ha ha wakishikwa pabaya huwa wanachanganyikiwa akili zinaruka
 
Tayari kuchanganyikiwa ndio kumeanza, CDM tafuteni namna ya kupelaka the Hague mashitaka ya mauaji yote wanayofanya hawa polisi na kutoa visingizio ambavyo havina msingi, mauaji hay sasa ni TOOOOOOOOOOOOOOO MUCH. Lazima kupata njia ya kuhakikisha yanasimama na yasiwepo tena
 
Kwani kuna tofauti gani kati ya kamati na tume?
 
Tume huwa inaundwa na raisi kwa mujibu wa sheria ya Commission of Inquiry Act, na tume inakuwa na madaraka kama mahakama kuu.Inaweza kumwita yoyote na kumhoji kwa kupewa summons na akikataa anaweza hata kufungwa kwa kuzarau tume. Kamati ya waziri haina madaraka yoyote.Na kwamba haiwezi kumhoji Waziri wala IGP hata kama itaonekana nao wanahusika. Kmati yenye nguvu za kisheria ni Kamata ya bunge na hii inaundwa na bunge.
 
kwahiyo hii ni kama guru ya uchunguzi .... haa haaa haaaaa

T.A Lissu atawachezesha kwata mpaka muwe maselule
 

Mdizi says thank you for this useful post
 
Tundu Lissu kweli wewe ni toto tundu, yaani unamuumbua Dr, Prof. Nchimbi mchana kweupeeeee!!! Niliwahi kusikia kuna watu wanaohudhuria shule na watu wanaenda shule kusoma.Wanaohudhuria shule ni wale wanaotumia kichwa kuotesha nywele.
 
Juzi ilikuwa TUME leo Kamati, Bravo Kamanda Lisu mpaka kieleweke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…