Mangi Mlay
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 5,743
- 7,090
Wacha kuupa sifa Uislam kwasababu wahalifu wengi na waliojaa magereza yetu ni hao hao
Wacha kuupa sifa Uislam kwasababu wahalifu wengi na waliojaa magereza yetu ni hao hao
Wewe Mkatoliki fake kabisa, hakuna mkatoliki anaekubali kuwa chiniMm ni mkristo R/C lkn nadhani ndugu zetu waislam wana mafunzo mengi sana ya kujali utu....toka wakiwa wadogo sisi kina Alexander tukiwa na vyeo tunataka kuwa kama kina Alexander the great
Kabisa mkuuMm ni mkristo R/C lkn nadhani ndugu zetu waislam wana mafunzo mengi sana ya kujali utu....toka wakiwa wadogo sisi kina Alexander tukiwa na vyeo tunataka kuwa kama kina Alexander the great
Ni kama baba ake Alhaj Ally Hassan MwinyiMwinyi Hussein waliowahi kuwa karibu naye wanamsema very positive kuwa ni mtu asiye na makuu
Sio mashindano ni upendo....Wewe Mkatoliki fake kabisa, hakuna mkatoliki anaekubali kuwa chini
Hebu acha kumhusisha mzee wa watu na vidudu vya kisukule...Hivi mkuu, una undugu na mzee eddo aka Lowassa?
Hata Yesu Kristo, Mwana wa Mungu na Mungu kweli, aliosha miguu ya wanafunzi wake. Tujitafakari sana ndugu yangu, hasa kipindi hiki cha Kwaresma.Wewe Mkatoliki fake kabisa, hakuna mkatoliki anaekubali kuwa chini
Huyo dada hajawahi kukomenti point.Chukua tahadhari kima wewe
Hebu acha kumhusisha mzee wa watu na vidudu vya kisukule...
Yani serious Mzee Edo anaweza kuwa na damu ya namna hii?




Ni kweli lakini shida ya waislamu wanapotawala Uongozi wao unakuwa dhaifu kiasi cha kuachia mianya ya Ufisadi,Rushwa,wizi wa mali ya umma,udini,nk rejea Mzee Ruksa na JMK!Kitu ambacho nimegundua mpaka sasa, waislamu wote wanao tawala huwa ni pole sana,wabinadamu tofauti na wakristo toka Nyerere mpaka leo
Amekuwa mzee tenaHuyu mzee ana busara sana
we ni falaaaAlaf uyo nae barakoa ya nn sasa