Dr. Mwakyembe yuko fit sasa.....?

Dr. Mwakyembe yuko fit sasa.....?

maskini lakini kachoka. Mungu akunusuru urudi uje ujenge taifa.

Lakini inafurahisha kumuoa akiwa katika sura yake halisi na furaha anayoionyesha shemeji yetu hapa ni ushahidi tosha kwamba amepata nafuu. MUNGU ni mwema na ametenda makuu. Mungu akubariki na kukulinda urudi nyumbani ukiwa na afya njema.
 
usihofu kabisa hatakufa bali ataishi kuyatangaza matendo makuu ya mungu....niliona tangu tar 15/10/2011 hali yake ikianza kutengamaa.

Dr. Ukirudi home katoe sadaka yako ya shukrani kwenye madhabahu ya mungu unako abudu....kisha samehe wote waliokutenda uovu unaowafahamu na usio wafahamu. Then uone mungu mwenye haki atakavyo hukumu kwa haki ili sifa na utukufu urudi kwake. Kamwe usijiingize kwenye revenge maana vengance is of god!

Mungu amekufanya wewe kuwa ishara kwao wote walio na roho za ibilisi nao utawaona kwa macho yako jinsi watakavyo kuwa exposed na kuaibika!

Uhimidiwe mungu wangu utukuzwe maana wokovu una yesu milele amina!
amina sana kwa maneno yako matamu mtumishi wa mungu.hakika mungu amejidhihirisha kwake kweli.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Imeandikwa katika Bible kwamba tutakula vya kufisha lakini hatutakufa......
 
Think beyond what you know and what you see........ Make sure your words are not bitter because In no time you will have to swallow them.

From the science point of view, no one has ever survived after contacting Pollonium.
 
Please JF friends as I spoke so has it happened not by power or mighty but through holyghost the mighty power of God!....Kwa ishara hii naomba imani ya msichana Cesilia iongezeke naye afuate nilichomwambia. I dont know how to get in contact with Mwakyembe maana something remarkable happened in that day of 15/10 I need to comfirm this ili sifa na utukufu zirudi kwa yeye Mungu na siyo tu kwa kazi ya mikono ya viumbe vyake huko India.

Dr. Mwakyembe please testimony to what happened will make your miracle permanent for our God is a jelous God he never share glory with any one. In Rev 12:11 its declared that "And they overcame him because of the blood of the Lamb and because of the word of their testimony, and they did not love their life even when faced with death; this is according to New American standard Bible version 1995. I purposefully choose this version to show how important for you to do that related to your case.
 
Wapi JS atuambie kama ile Pollonium 236 yake inatibika?

Tuko mi sijui kama inatibika au vipi nilisoma nikaona nachanganyikiwa pasipo kuelewa vizuri nikaachana nayo.
 
Pichani Dr .wa kweli aliye enda shule sio ya kupewa akiwa amepozi na madaktari waliomtibu wa Hospitali aliyolazwa
DSC_7029.JPG

Hebu tujiulize kwa nini Dr.atibiwe na timu kubwa like this ya madaktari na manesi. Hapo pana kitu fulani kimejificha. Naanza kumuamini JB
 
get well soon mwanaharakati taifa linakusubiri jamaa wa dowance wameshinda kesi njoo tuone namna ya kuwafanya na wengine wajiudhulu nyazifa zao huku maana toka waje symbioni hakuna walichofanya wanategea mvua zianze kunyesha wachukue mapesa ya bure TEHE TEHE TEHE DHARULA ISIYOISHA MASIKINI TANZANIA
 
mungu ni mwema siku zote, alimjulisha musa njia zake, wana wa israel matendo yake, bwana amejaa huruma na neema WALA HAONI HASIRA UPESI!pole sana dr Harrison, God is there to prove and show the world that, he is a powerful God, and he is on top of everything! TUMWACHIE YEYE MAKE NDO BABA YETU NA HAKUNA ALIYE JUU YAKE!AMEN!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom