Msitegemee jipya toka kwa mtu huyo jamani!...Ameshapewa advertize, kiutu-Uzima lazima aelewe kinacho...[/QUOTE]
PJ tafadhali malizia hapo kwenye RED!
kuna faida gani anaingia ofisini ngozi inambana mkurutu mwanzo mwisho ..nywele kichwani zinapukutika....mroho wa madaraka tu angekuwa yuko balanced angeacha uwaziri aendelee kujiangania na afya yake na kujikuna kuna ...anaenda kupoteza tu muda wa kufanya kazi za umma maana 80 % ya muda wake atauwa anatumia kujikuna badala ya kufanya kazi
hapana mkuu,watanzania hawajamchoka mh.mwakyembe,wanamhitaji sana kwa ajiri ya ukombozi wa nchi hii,waliomchoka ni mafisadi, wala rushwa na wale wote wasiolitakia mema taifa letu,kaa nchi ufikrie kwa kina ili utoe hii kauli yako yenye mafungamano na ufisadi.kama fisadi alifika na kuitisha vyombo vya habari uwanja wa ndege tena ukumbi wa watu maarufu kwa gharama kubwa iweje leo ushindwe useme mwakyembe hana jipya unataka jipya kutoka kwa mafisadi au.
Incomplete Richmond Report!!.....kazi zipi mkuu? Mwakiembe sijawahi kumsikia..
Baraza la Mawaziri likitenguliwa huyu Jamaa hana Kazi
hajaongea mpaka sasa?......
I always ask my self the same question, kina Pasco na wengineo huwa wana andika jina lake "Mwakiembe"Mwakyembe au Mwakiembe