Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
mengi yamesemwa, hatimaye jumatatu imefika, ngoja tumsikie ataongea nin.
Sidhani kama kuna jipya atakaloongea kwani yote anayotakiwa kuyaongea yanaididimiza ccm yake
mengi yamesemwa, hatimaye jumatatu imefika, ngoja tumsikie ataongea nin.
hana jipya.........TUMEMCHOKA nae
Tusubiri lolote with magamba all evil things are possible.
Mwakiembe from now ajishike na Mungu sana kwani kona zote hajui ni nani rafiki yake na ni nani adui yake..Be carefully Mwaki..
Utamjuwa. Unles ur not Tanzania. Pia mwathirika wa kazi zake.
[/COLOR]sijakuelewa hapo red
Nifuraha yangu leo Dr H. Mwakiembe ataingia kazini, walio subiria geneza lake sasa mageneza yao ndio yatakuwa yakwanza kuingia kaburi. Mungu yule Yule ametenda tena na sasa mwakiembe anaanza kazi. Jina la Mungu liimidiwe. Pia leo tunategemea Mweshimiwa Mwakiembe kuzungumza na wateja, nifuraha ilioje atazungumza kwa utash na hekima kubwa kiasi hata wabaya wake watakosa lakusema. Huu ni mwanzo mpya na mwisho wamafisadi wote. Ninafuraha kubwa mwakiembe afya yake itaimarika sana na kuwa jasiri ya mara ya kwanza. Mungu ibariki Tanzania, viongoz waadilifu na watanzania wote...
mwakwyembe hawezi kusema lolote la maana sana sana atashukuru na kulitupia lawama jeshi la polisi halafu baada ya wiki mbili atarudi tena appolo...
mda si mrefu huyu hapa chini atatoa report juu ya:
1. BoT and Tanzania financial issues.
2. Intelligence Reports.
3. Political Situation
4. Corruption.
5.Who really runs Tanzania
6. What to do
hana jipya.........TUMEMCHOKA nae
Si Balali huyu, yule aliyesingiziwa kifo? hii picha ni inaonekana ni ya juzi juzi.
mwakwyembe hawezi kusema lolote la maana sana sana atashukuru na kulitupia lawama jeshi la polisi halafu baada ya wiki mbili atarudi tena appolo...
mda si mrefu huyu hapa chini atatoa report juu ya:
1. BoT and Tanzania financial issues.
2. Intelligence Reports.
3. Political Situation
4. Corruption.
5.Who really runs Tanzania
6. What to do