Samahani wakuu, Jee Dr. Mwakyembe aliwahi kuwa TBS? au nimechanganya majina.
Naomba mnielimishe.
Ni watu tofauti, ila nahisi ni ndugu.
Daimon Mwakyembe wa TBS kitaaluma ni Mkemia, wakati huyu Harrison Mwakyembe Mbunge ni Mwanasheria.
Aidha ni ndugu wa Damu, Ukoo wao umepanuka toka Kyela hadi Zanzibar na kuishia Bukoba.
Wote wanatoka Kyela lakini sio ndugu. Ni majina tu yanafanana.
Daimon na Harrison ninavyowafahamu ni mtu na mdogo wake meaning Daimoni ni mkubwa na Harrison ni mdogo wote wakiwa wanatokea Mbeya,wilaya ya kyela kijiji cha Ikolo.
Usishangae sana soma data toka kwa Mwakasege... then uliza kwa utaratibu utajua ni kwa nini ukoo huo upo Zenj na BukobaKhaaa! Kibunango!
Aidha ni ndugu wa Damu, Ukoo wao umepanuka toka Kyela hadi Zanzibar na kuishia Bukoba.
Aliyekuwa TBS chief ambaye ame retire anaitwa Daimon Mwakyembe na huyu jamaa mtetea haki anaitwa Harrison Mwakyembe
Hilo chata la MWAKASEGE linanifanya niamini hoja yake. But caution, huko vijijini tukitembelea ndugu zetu (hasa babu na bibi) utakuta kila mwanakijiji mnaekutana nae unatambulishwa ni ndugu yetu! Logic niliyoipata kwa Mwakasege ni kuwa hawa jamaa ni ndug sababu wanatoka kijiji kimoja. Ila kwa hawa Mwakyembes naona mpaka majina yanafanana.Waungwana Mtanzania na G.Mwakasege ni yupi kati yenu ni sahihi? Kuna mwanaJF mwingine mwenye data zaidi?