Dr. Mwaka, tunaomba majibu hapa tafadhali

Tembele

JF-Expert Member
Oct 1, 2011
1,150
340
Nimesoma hizo Hoja za Dr. Jembe ni jembe instagram na nadhani Dr. Mwaka Atupe majibu Tafadhali.



attachment.php
attachment.php


Ndugu Mwaka ni Tone katika dimbwi la Tatizo linalohitaji mjadala mpana na solution zake.Maswali Magumu Na ya kitaalam yaliyoibuliwa na Mh. Kigwangala Ni kama ifuatavyo:

1.Baada ya vyeti vilivyosambaa ni rahisi kuona kama anaonewa vile..Lakini Inaonyesha yeye Ni Mhitimu wa Cheti cha Mafunzo tena Ya Red Cross..Tena Ya China. Authority ya ku represent kama expert anetoa Wapi?

2.Ukitizama chiti /Cerificate details inaonyesha Mafunzo aliyopata No BASIC..Sio speciality,Wala expertise

3.Cheti cha Kutoa Huduma kinazungumzia Traditional and Altenative treatments..Maana yake Ni Tiba mbadala Na Tiba za Kitaalamu(Medicine).

4.Uzoefu wa Bwana Mwaka Ni Mwaka Mmoja Kama Jina Lake..maana amemaliza 2014 hiyo course ya Msingi(Basic course)Kwa hii Elimu ya Msingi ya Tiba mbadala ..Je amepata wapi Locus (in Legal terms) Au Authority ya kuchambua Viungo Vya Kinamama.?

5.Waliotembelea kituo Foreplan wanasema Kuna Vipimo,Na hata uchunguzi wa kitaalam;Damu na Physical examination(Kuyizama maeneo ya Uke wa kinamama ili kugunzua dalili za tatizo(Vaginal Examination)..Kwa Elimu ya Msingi Nani kampa mamlaka Hayo.?

6.Kuhusu Uwezekano Wa Kuajiri WATAALAM WA MODERN MEDICINE: Wengine WAMEDIRIKI KUSEMA eti hata kama Hana Vigezo Stahili au Utaalamu yeye mwenyewe,atakua ameajiri wataalam..KWANZA Kibali alichonacho Ni Traditional Na Altenative Health Practice...Yaani Tiba asilia na Mbadala..Jiulize Mbadala wa Nini? Jibu:Mbadala wa Modern Medicine Ya Miaka Minane Ya kitaalam. KWA HIYO KWA KIBALI HICHO ASINGERUHUSIWA KUAJILI DAKTARI YEYOTE. kwanza Daktari gani Mtaalam angeenda kutoa huduma kwenye serting kama hiyo?Kama yupo Ndio Maana Walikimbia..Au kama Yupo basi sio wa Level ya Medical Degree..Lakini sidhani. Na sheria hairuhusu. Na Ni dunia tofauti haviendani.

7.Vifaa wanavyotumia ni vya kitaalam Na sio vya Tina asilia..wakati Utaalam Hawana..Mfano Mwaka anajo represent amevaa STHESOSCOPE most of the time ..Jamani..Kwa cheti cha mwaka.Tena Utashangaa Cheti kapewa 2013 Lakini Tradirional Chinise Medicine course Ya Msingi amemaliza 2014. (JIBUUUUUUU)..Unless kuwe na Vigezo vingine vya Usajili(Nitafuatilia niwajuze).

8.Kuhusu MH.KIGWANGALA: Sio kwamba Namtetea Lakin in real sense Yeye Ni Mtaalam Wa Afya.A qualified Medical Doctor aliewahi kuwa Mstari wa mbele kupigania Maslahi ya Madaktari. Anajua some of the challenges na majipu ya secta ya Afya.Napenda kuamini maamuzi yake..na sio kwamba amefunga au kuzuia kituo..Amekagua kwa Ziara ya Ghafla kama ilivyo kawaida ya Serikali hii mpya..Then ameagiza vyombo husika Kuchunguza na kumletea report..na Mwaka kujisalimisha Wizarani.Baada ya hapo atachukua hatua stahili and im sure zitakua zile ninazoziwaza mie.

9.Mjadala Huu Unaibua Hoja zinazopelekea Kutizamwa upya sheria ya Tiba za Asilia na Mbadala na uhalali wa Matangazo..in terms of content Na approach ya utangazaji.Pia Umuhimu wa Kuimarisha Huduma Ya Afya Ya Uzazi kwa kina Mama na Kina Dada ambao wanakua Desparate kiasi cha kumuamini mtu yeyote.Jamani:Maeneo ya Uzazi ni maeneo Sensitive sio pa kuguswa Na kuchunguliwa hovyo.Ndio wote tumetoka huko tupaheshimu Na tuache ushabili tuangalie facts na tuendelee Kutumbua majipu kwa kutumia Utaalam sheria na Taratibu.

10.Tuambie umejifunza Nini na Mjadala uendelee ..zingatia Facts na taaluma..
 

Attachments

  • 10507886_1491200134521002_1813692731_n.jpg
    10507886_1491200134521002_1813692731_n.jpg
    11.1 KB · Views: 7,643
  • mwaka 2.jpg
    mwaka 2.jpg
    6.4 KB · Views: 7,476
Mkuu nashukuru sana tena sana sana kwa bandiko zuri, aisee!!. Tembele
Nafuatilia haya mambo vile niliwahi kujaribu kuingia kwenye hii sector nafahamu kwa asilimia flank juu yake, umenena vema. {√}
 
Last edited by a moderator:
Muoneeni huruma wakuu mana shule tatizo pale, ila kama kweli anatibu na watu wanapona sio vibaya serikali kuangalia namna ya kumsahuri afanya kazi zake kwa usahihi bila ujanjaujanja
 
Nimesoma hizo Hoja za Dr. Jembe ni jembe instagram na nadhani Dr. Mwaka Atupe majibu Tafadhali.



attachment.php
attachment.php


Ndugu Mwaka ni Tone katika dimbwi la Tatizo linalohitaji mjadala mpana na solution zake.Maswali Magumu Na ya kitaalam yaliyoibuliwa na Mh. Kigwangala Ni kama ifuatavyo:

1.Baada ya vyeti vilivyosambaa ni rahisi kuona kama anaonewa vile..Lakini Inaonyesha yeye Ni Mhitimu wa Cheti cha Mafunzo tena Ya Red Cross..Tena Ya China. Authority ya ku represent kama expert anetoa Wapi?

2.Ukitizama chiti /Cerificate details inaonyesha Mafunzo aliyopata No BASIC..Sio speciality,Wala expertise

3.Cheti cha Kutoa Huduma kinazungumzia Traditional and Altenative treatments..Maana yake Ni Tiba mbadala Na Tiba za Kitaalamu(Medicine).

4.Uzoefu wa Bwana Mwaka Ni Mwaka Mmoja Kama Jina Lake..maana amemaliza 2014 hiyo course ya Msingi(Basic course)Kwa hii Elimu ya Msingi ya Tiba mbadala ..Je amepata wapi Locus (in Legal terms) Au Authority ya kuchambua Viungo Vya Kinamama.?

5.Waliotembelea kituo Foreplan wanasema Kuna Vipimo,Na hata uchunguzi wa kitaalam;Damu na Physical examination(Kuyizama maeneo ya Uke wa kinamama ili kugunzua dalili za tatizo(Vaginal Examination)..Kwa Elimu ya Msingi Nani kampa mamlaka Hayo.?

6.Kuhusu Uwezekano Wa Kuajiri WATAALAM WA MODERN MEDICINE: Wengine WAMEDIRIKI KUSEMA eti hata kama Hana Vigezo Stahili au Utaalamu yeye mwenyewe,atakua ameajiri wataalam..KWANZA Kibali alichonacho Ni Traditional Na Altenative Health Practice...Yaani Tiba asilia na Mbadala..Jiulize Mbadala wa Nini? Jibu:Mbadala wa Modern Medicine Ya Miaka Minane Ya kitaalam. KWA HIYO KWA KIBALI HICHO ASINGERUHUSIWA KUAJILI DAKTARI YEYOTE. kwanza Daktari gani Mtaalam angeenda kutoa huduma kwenye serting kama hiyo?Kama yupo Ndio Maana Walikimbia..Au kama Yupo basi sio wa Level ya Medical Degree..Lakini sidhani. Na sheria hairuhusu. Na Ni dunia tofauti haviendani.

7.Vifaa wanavyotumia ni vya kitaalam Na sio vya Tina asilia..wakati Utaalam Hawana..Mfano Mwaka anajo represent amevaa STHESOSCOPE most of the time ..Jamani..Kwa cheti cha mwaka.Tena Utashangaa Cheti kapewa 2013 Lakini Tradirional Chinise Medicine course Ya Msingi amemaliza 2014. (JIBUUUUUUU)..Unless kuwe na Vigezo vingine vya Usajili(Nitafuatilia niwajuze).

8.Kuhusu MH.KIGWANGALA: Sio kwamba Namtetea Lakin in real sense Yeye Ni Mtaalam Wa Afya.A qualified Medical Doctor aliewahi kuwa Mstari wa mbele kupigania Maslahi ya Madaktari. Anajua some of the challenges na majipu ya secta ya Afya.Napenda kuamini maamuzi yake..na sio kwamba amefunga au kuzuia kituo..Amekagua kwa Ziara ya Ghafla kama ilivyo kawaida ya Serikali hii mpya..Then ameagiza vyombo husika Kuchunguza na kumletea report..na Mwaka kujisalimisha Wizarani.Baada ya hapo atachukua hatua stahili and im sure zitakua zile ninazoziwaza mie.

9.Mjadala Huu Unaibua Hoja zinazopelekea Kutizamwa upya sheria ya Tiba za Asilia na Mbadala na uhalali wa Matangazo..in terms of content Na approach ya utangazaji.Pia Umuhimu wa Kuimarisha Huduma Ya Afya Ya Uzazi kwa kina Mama na Kina Dada ambao wanakua Desparate kiasi cha kumuamini mtu yeyote.Jamani:Maeneo ya Uzazi ni maeneo Sensitive sio pa kuguswa Na kuchunguliwa hovyo.Ndio wote tumetoka huko tupaheshimu Na tuache ushabili tuangalie facts na tuendelee Kutumbua majipu kwa kutumia Utaalam sheria na Taratibu.

10.Tuambie umejifunza Nini na Mjadala uendelee ..zingatia Facts na taaluma..

1. Ningetaka kujua kama unajua pasipo shaka kwamba ni hivyo vyeti viwili tu ndivyo alivyo navyo na hana vyeti vingine vyovyote.
2. Pia ningetaka kujua kipi ni muhimu kwenye tiba mbadala: kuwa na cheti au kutibu na mtu akapona.
3. Nasemea haya kwa sababu kuna baadhi ya waganga wa tiba mbadala wanatibu kwa kutumia uzoefu wao wa muda wa mrefu na hawana vyeti na baadhi ya waliotibiwa wanasema wamepata nafuu au wamepona kutokana na kuzunguka muda mrefu hospitalini bila mafanikio na walipoenda kwa hao waganga wa tiba mbadala walifanikiwa na matatizo yao yameisha.
4. Ili kuona nani ni nani ni afadhali huduma za hospitali ziboreshwe ili watu wasilazimike kutafuta tiba mbadala sehemu zingine.
5. Binafsi namkubali Dr Mwaka maana kwanza huwa anawaambia wateja wake kwenda hospitali na wasipopata nafuu wajaribu kwenda kwake, lakini kwanza ni lazima wawe na vyeti vinavyoonyesha tatizo lao na jinsi lilivyoshughulikiwa hadi kushindikana.
 
Nafikiri tiba asilia zote zichunguzwe upya maana nia aina nyingine ya utaperi..hasa wakinamama ni rahisi sana kushawishika..
 
Dr Preta amesikitishwa sana na kitendo cha daktari mwenzie Dr Mwaka kula kona..........haelewi kwa nini Dr amkimbie Dr mwingine..............
Cc Dr Watu8.......Dr njiwa.......

Dr love Preta ni mtoto wa Dr love pimbi na amebobea kwenye maswala ya six by six.
 
Last edited by a moderator:
Dr Preta amesikitishwa sana na kitendo cha daktari mwenzie Dr Mwaka kula kona..........haelewi kwa nini Dr amkimbie Dr mwingine..............
Cc Dr Watu8.......Dr njiwa.......

Dr. Preta! Mwaka amefanya makosa katika utambulisho wake..

1) Angejinasibisha ni mtaalamu wa Tiba Mbadala kama Mkuu Mzizi Mkavu wa JF

2)Mwaka picha nyingi ninazoziona kwenye mitandao na matangazo amening`iniza stethoscope shingoni... sidhani kama anajua hata kuitumia ? Heart sounds takes years of practice kuzi master ndio maana medicine ni miaka 5 mpaka 6

3)Anapicha nyingine amebeba kitabu cha Obstetrics and Gynecology yeye ni mtaalamu wa tiba mbadala hicho kitabu ni cha nini ? amefika mbali na kujinasibisha ni Mtaalamu wa magonjwa ya kina mama ... jamani! kuwa gynecologist lazima uende Medical school miaka 5 mpaka 6 , ufanye mwaka mmoja wa internship then urudi shule ku specialise miaka 4 tena... mwaka yeye amefanya training ya mwaka mmoja na red-cross china anajiita gynecologist ????

4) Pelvic Exam, kufanya uchuguzi sehemu za siri za kina mama na dada zetu "ONLY A QUALIFIED PHYSICIAN NDIO ANARUHUSIWA JUST INCASE IKATOKEA SEVERE BLEED , A PHYSICIAN WILL KNOW HOW TO INTERVENE " Sidhani Mwaka kama anaweza kushona hata kidonda..

5) Unapofanya pelvic exam kuna some modern equipment's zinatumika again only certified physician ndio anaruhusiwa kuvitumia ... mfano kama mwana mama ana matatizo ya kizazi kumbe she has Carcinoma of the cervix, most of CAX ukigusa tu zina bleed ,, je mwaka ana blood bank pale clinic yake ?!! JE IKATOKEA MGONJWA AMEFARIKI WAKATI MWAKA AKIFANYA PELVIC EXAM UNAJUA ITAKUWA NI MURDER CASE ?! SABABU MWAKA HE WAS NOT TRAINED KUTOA HIYO HUDUMA.


MWISHO

Mimi sina neno na Mwaka! ila tu arudi kwenye misingi yao ya tiba mbadala na asifanye utatibu kama wanavofanya madactari wa modern medicine including kufanya Pelvic exam...

Kuna watu wanacomplain mbona kikombe cha babu watu walitumia ... well babu hakuvaa stethscope , babu hakujiita gynecologist, babu tiba yake ilikuwa ni kiimani zaidi...

hata sisi waislam tuna wataalamu wetu wa tiba za kissuna huwasikii wakijitangaza ni ma gynecologist wala kufanya uchunguzi wa kizazi kama mahospitalini wanavofanya...


Mwaka amshukuru sana Mh.Dr. H. kingwa! sababu ingefika siku mgonjwa akafariki basi mahakamani angehukumiwa kama muuaji sababu si tabibu aliyekuwa trained kufanya yale anayo yafanya ...
 
poleni kina dada muliochunguliwa na mtoa huduma wa redcross humu ndani
 
1. Ningetaka kujua kama unajua pasipo shaka kwamba ni hivyo vyeti viwili tu ndivyo alivyo navyo na hana vyeti vingine vyovyote.
2. Pia ningetaka kujua kipi ni muhimu kwenye tiba mbadala: kuwa na cheti au kutibu na mtu akapona.
3. Nasemea haya kwa sababu kuna baadhi ya waganga wa tiba mbadala wanatibu kwa kutumia uzoefu wao wa muda wa mrefu na hawana vyeti na baadhi ya waliotibiwa wanasema wamepata nafuu au wamepona kutokana na kuzunguka muda mrefu hospitalini bila mafanikio na walipoenda kwa hao waganga wa tiba mbadala walifanikiwa na matatizo yao yameisha.
4. Ili kuona nani ni nani ni afadhali huduma za hospitali ziboreshwe ili watu wasilazimike kutafuta tiba mbadala sehemu zingine.
5. Binafsi namkubali Dr Mwaka maana kwanza huwa anawaambia wateja wake kwenda hospitali na wasipopata nafuu wajaribu kwenda kwake, lakini kwanza ni lazima wawe na vyeti vinavyoonyesha tatizo lao na jinsi lilivyoshughulikiwa hadi kushindikana.

kama nakumbuka vizuri,Dr.Kigwangala alisema,waganga wa sampuli ya Mr.YEAR hawatakiwi hata kujitangaza,mbali na kujiita Dr.bila vyeti.
Na kwa uchunguzi wangu,chuo kile kipo gerezani katika chumba cha futi nane kwa nane.
 
Mie nilitibiwa ugonjwa wa pumu na watu hawa hawa wa mitishamba ambapo hospitalini walishndwa kunitibia badala yake walikuwa wananipatia za kutuliza tu
 
Back
Top Bottom