Mweusi Mweupe
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 332
- 322
Nimekuelewa PEPSI.
Petro E. MselewaWapi nimesema najadili kama mtaalamu? Acha kunilisha maneno mkuu
Ni uelewa wa kielimu,si kitaalamuPetro E. Mselewa
maneno "...... mwanzoni, tukubaliane kuwa Bajeti kama ulivyoiwasilisha jana inahitaji uelewa mpana katika kuielewa, kuichambua, kuipitisha na kuitekeleza. Kwa sisi tuliobahatika kupata elimu ya kutosha, tumeisikia Bajeti na tunaendelea kuichambua mitandaoni, vijiweni na kadhalika. Wachambuzi ni sisi wenyewe wenye uelewa wa hiyo Bajeti." ....niliyoyanukuu kutoka aya ya pili kwenye uzi wako, hukuyaandika wewe mwenyewe?