Dr. Mpango (Waziri wa Fedha), huu ni mchango wangu kwenye Bajeti Kuu ya Serikali

Tano nakupongeza kwa kumjibu vizuri ila ukaharibu point ya 4 pale ambapo na wewe umepanic ukajishusha hadhi kwa kutaka kulipiza kwa matusi mkuu. Point 1-3 zillikuwa zimetosha, ulipoweka ya 4 na wewe umejishusha hadhi kwa kukaribisha hasira za haraka haraka kwa hoja muhimu, hvyo hamna utofauti.

Hiyo point ya 4 haitushangazi wengi, akizidiwa kukosolewa juu ya kitu uishia kuandika maneno ya ajabu na mabaya. Halafu atapotea kwa kuwa kimya na kurudi baada ya masiku.
 
Nakubariana kutokubariana na mawazo yako,
Kama hivyo ndivyo ilivyo kwamba bajeti ijadiliwe na wachumi tu,
Swali kwako,

Kwa nini sasa bajeti hiyo imesomwa bungeni ambamo zaidi ya nusu hawajui uchumi na baadhi yao hata kidato kimoja hawajagusa, ina maana hawaruhusiwi hata kuijadiri?
asante...
Hoja yako ni sahihi. Hata hivyo, kujadili bajeti kama mtaalam, nafasi ambayo mleta uzi alikuwa akijinasibu nayo, ni tofauti kabisa na kujadili bajeti kama mdau kuwezesha wataalam kuchukua input kwa ajili ya kuboresha bajeti. Bajeti ya serikali ni political tool/document kwa hiyo uhalali (legitimacy) wake unatokana, pamoja na kuandaliwa vya vyombo vilivyowekwa kwa mamlaka ya kisheria, kwa kujadiliwa na umma wa wananchi wote, hususan kupitia kwa wawakilishi wao (Wabunge). Kwa hiyo, iwapo mleta uzi angekuwa amejinasibu kwa na hadhi ya udau (wananchi wa kawaida) nisinge pingana naye.
 
Labda mimi mwenyeji kwenye haya, huu mchango wa humu utapokelewa na Waziri au Wabunge? Na je ikitokea hawajasoma humu inakuwaje? Hakuna njia zingine za kumfikishia ujumbe?
Bajeti inajadiliwa kwenye vijiwe vya kahawa, karata,kwenye usafiri na kila sehemu zikiwemo social media pia na ndio maana hata katibu wa wizara ya maji katoa comment kupongeza bajeti hiyo kupitia ukurasa wake wa tweeter
 
Ni legal officer sijui kama ana uwezo mkubwa kutetea chuo kikuu wakiwa Na kesi naona kama uwezo wake ni Mdogo mno
Bado upon too personal. Mnamgombea mchumba? Isitoshe, kabla hujahukumu, jiangalie usafi wako. Wewe umefanya lipi kwa jumuiya au taasisi unayoihudumu? Au unataka kila anachokifanya umuaccess? Hatuishi na wala hatuelimishani hivi. Unless mna personal issues!
 
Mtoa maada una nia njema lakini jaribu kuwa wazi kwa kuyaainisha hayo maeneo unyoyakisudia. Be open and transparent pleas.
 
Bajeti inajadiliwa kwenye vijiwe vya kahawa, karata,kwenye usafiri na kila sehemu zikiwemo social media pia na ndio maana hata katibu wa wizara ya maji katoa comment kupongeza bajeti hiyo kupitia ukurasa wake wa tweeter

Sasa umeandika nini uwiiii mbavu zangu, mwenzako anashauri Waziri atekeleze hoja yake, wewe unadakua eti juu ya kujadili...
 
Kama huwa unapanga bajeti ya mapato na matumizi yako au familia yako ndio unaweza kuelewa hakuna kitu kama bajeti hewa.
 
Bado upon too personal. Mnamgombea mchumba? Isitoshe, kabla hujahukumu, jiangalie usafi wako. Wewe umefanya lipi kwa jumuiya au taasisi unayoihudumu? Au unataka kila anachokifanya umuaccess? Hatuishi na wala hatuelimishani hivi. Unless mna personal issues!
Mkuu,huyo dada ananitaka kinguvu. Hakuna zaidi
 
Hoja yako ni sahihi. Hata hivyo, kujadili bajeti kama mtaalam, nafasi ambayo mleta uzi alikuwa akijinasibu nayo, ni tofauti kabisa na kujadili bajeti kama mdau kuwezesha wataalam kuchukua input kwa ajili ya kuboresha bajeti. Bajeti ya serikali ni political tool/document kwa hiyo uhalali (legitimacy) wake unatokana, pamoja na kuandaliwa vya vyombo vilivyowekwa kwa mamlaka ya kisheria, kwa kujadiliwa na umma wa wananchi wote, hususan kupitia kwa wawakilishi wao (Wabunge). Kwa hiyo, iwapo mleta uzi angekuwa amejinasibu kwa na hadhi ya udau (wananchi wa kawaida) nisinge pingana naye.
Wapi nimesema najadili kama mtaalamu? Acha kunilisha maneno mkuu
 
Tano nakupongeza kwa kumjibu vizuri ila ukaharibu point ya 4 pale ambapo na wewe umepanic ukajishusha hadhi kwa kutaka kulipiza kwa matusi mkuu.

Point 1-3 zillikuwa zimetosha, ulipoweka ya 4 na wewe umejishusha hadhi kwa kukaribisha hasira za haraka haraka kwa hoja muhimu, hvyo hamna utofauti.
Usijali mkuu,huwa sina hasira. Bila hivyo asingeelewa
 
Muda utasema ila tofauti ni kubwa sana.. Kuna mambo mengi yatatekelezwa
 
Back
Top Bottom