Dr. Magufuri serikali imejenga kiwanda cha Dangote

Dr. Magufuri serikali imejenga kiwanda cha Dangote

msubhe

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2014
Posts
225
Reaction score
32
akihutubia maelfu ya wakazi mkoani Mtwara mgombea uraisi kwa tiketi ya ccm amejinadi kuwa serikali ya ccm imejenga kiwanda cha Dangote kwa ajiri ya kutoa ajira kwa vijana. swali langu kwa mh. Magufuri DANGOTE ni kiwanda cha serikali? mi naona kwa hilo umewadanganya wananchi
 
Unajuwa mtu akiwa muongo sana awe na mwepesi kukumbuka dangote si mwekezaji sasa kwenye kampeni za ccm anahusika vpi?
 
Yani ni full rubish. Subiria mapovu kutoka lumumba fc.
 
kwa kauli kama hii kwangu mm hufai kuwa raisi japo na upumbavu wangu nimeng'amua kuwa wewe ni mzee wa kukurupuka hujipangi.
 
Kachanyikiwa Magufuli Na Upepo Wa Ukawa Yaani Anasema Tu
 
hizi kauli ndizo zilizoleta machafuko kipindi kileeeee cha nyuma. Tusikurupuke jmn.dangote ni yy na pesa zake.mtoa mada uko makini mm nilikuwepo pale uanjani ila baada ya kauli hiyo nilitoka.
 
kwa kauli kama hii kwangu mm hufai kuwa raisi japo na upumbavu wangu nimeng'amua kuwa wewe ni mzee wa kukurupuka hujipangi.
 
Magufuli alitakiwa atoe tathimini wamefanya kipi tangu miaka yote na sii swala la viwanda.mbona vilikwepo wakati Wa nyerere?Leo viko wapi?miaka 50. maji ni agenda?wanafunzi bado wanakaa chini.watanzania tuamkeeeeee!imetoshaaa
 
akihutubia maelfu ya wakazi mkoani Mtwara mgombea uraisi kwa tiketi ya ccm amejinadi kuwa serikali ya ccm imejenga kiwanda cha Dangote kwa ajiri ya kutoa ajira kwa vijana. swali langu kwa mh. Magufuri DANGOTE ni kiwanda cha serikali? mi naona kwa hilo umewadanganya wananchi

Nakushauri tafuta "Audio Clip" ya Magufuli akisema maneno hayo kisha iambatanishe hapa. Itaongeza nguvu ya post yako pia Cyber Law haitakufanya kitu!
 
usijali ndugu soon itakuwa hewani naifanyia kazi
 
akihutubia maelfu ya wakazi mkoani Mtwara mgombea uraisi kwa tiketi ya ccm amejinadi kuwa serikali ya ccm imejenga kiwanda cha Dangote kwa ajiri ya kutoa ajira kwa vijana. swali langu kwa mh. Magufuri DANGOTE ni kiwanda cha serikali? mi naona kwa hilo umewadanganya wananchi

Naona aibu kujifungia kwenye chumba cha kura na kuweka tiki kwenye mgombea wa namna hiyo.....
 
Yani ni full rubish. Subiria mapovu kutoka lumumba fc.

Maghufuli anafikiri wakazi wa Mtwara ni mazuzu. Si ajabu akawaambia kua Gesi ndio raw material ya kiwanda chochote duniani
 
Teh teh teh,na hii watakuja kukanusha kama ile ya kuwapatia Laptop walimu Nchi nzima tena aliitolea huko huko Mtwara,kwa maana hiyo wanaona wananchi wa Mtwara/kusini ni mazuzu wao.
 
akihutubia maelfu ya wakazi mkoani Mtwara mgombea uraisi kwa tiketi ya ccm amejinadi kuwa serikali ya ccm imejenga kiwanda cha Dangote kwa ajiri ya kutoa ajira kwa vijana. swali langu kwa mh. Magufuri DANGOTE ni kiwanda cha serikali? mi naona kwa hilo umewadanganya wananchi

Jambo ambalo watanzania wanatakiwa kujua huyu Magufuli anajua mambo machache sana ya kijamii. Ni kweli hajui ni kiwanda cha Dangote? Ndiyo sababu ni mbumbumbu kuhusu Libya. Alikuwa hajui chochote katika Development Studies akiwa UDSM. Ataabisha nchi kwenye uga wa kimataifa
 
akihutubia maelfu ya wakazi mkoani Mtwara mgombea uraisi kwa tiketi ya ccm amejinadi kuwa serikali ya ccm imejenga kiwanda cha Dangote kwa ajiri ya kutoa ajira kwa vijana. swali langu kwa mh. Magufuri DANGOTE ni kiwanda cha serikali? mi naona kwa hilo umewadanganya wananchi

Ana maana Serikali iliyo madarakani (CCM) wametoa kibali kwa Mwekezaji ambaye amejenga kiwanda hicho cha DANGOTE. Hapo kuna uongo?. Au mwekezaji alijileta tu mwenyewe na kuanza kujenga hicho kiwanda?
 
dat wy twapaswa kusambaza elimu kwa ndugu na jamaa walitambue na kuchukua hatua?
 
usibishe nipe muda utaiona hiyo clip zen utaongea
 
Back
Top Bottom