Aljazera
JF-Expert Member
- Feb 11, 2015
- 637
- 224
Nakushauri tafuta "Audio Clip" ya Magufuli akisema maneno hayo kisha iambatanishe hapa. Itaongeza nguvu ya post yako pia Cyber Law haitakufanya kitu!
Kwa hiyo unabisha kua hakusema hivyo?
Nakushauri tafuta "Audio Clip" ya Magufuli akisema maneno hayo kisha iambatanishe hapa. Itaongeza nguvu ya post yako pia Cyber Law haitakufanya kitu!
Sasa mnabisha nini dangoke kajenga tanzania.na tanzania mali ya serikali na government ccm.
watanznia kwa moyo wa dhati kabisa tuko tayari kwa mabadiliko na kuhakikisha hili tumeamua kuwa tutamchagua mh. Lowasa kuwa raisi wa tano wa jmt.akihutubia maelfu ya wakazi mkoani mtwara mgombea uraisi kwa tiketi ya ccm amejinadi kuwa serikali ya ccm imejenga kiwanda cha dangote kwa ajiri ya kutoa ajira kwa vijana. Swali langu kwa mh. Magufuri dangote ni kiwanda cha serikali? Mi naona kwa hilo umewadanganya wananchi
Nadhani huo ni mwendelezo kwetu wapumbavu na malofa..
Fallacy of hasty generalization...Sasa mnabisha nini dangoke kajenga tanzania.na tanzania mali ya serikali na government ccm.
Mtaji wao ,ujinga wa wananchi.
Unajuwa mtu akiwa muongo sana awe na mwepesi kukumbuka dangote si mwekezaji sasa kwenye kampeni za ccm anahusika vpi?