Dr. Magufuli, tafadhali badili hotuba

Dr. Magufuli, tafadhali badili hotuba

wakemia na lugha wapi na wapi ?
ni sawa na askari na kizungu.
 
Sasa unaelekea 'kuboa'. Unarudiarudia maneno yale yale kila mahali unapohutubu,kwanini? Badili hotuba. Badili maneno. Kuanzia ukumbini Dodoma; uwanjani Dodoma, Dar es Salaam na hata Zanzibar, umekuwa ukisema: 'Sitawaangusha,nitakuwa mtumishi wa wote'. Na jana pia umeyarudia maneno hayo hapa Lumumba. Kurudiarudia kunaonesha kufilisika. Usifike huko.

Nafahamu na nakufahamu kuwa una maneno mengi. Unaweza kubadili maneno na hata kuyaleta matamu kuliko hayo. Kama huo ni msemo wako sawa.

Lakini,badilikabadilika kimaneno ili uvutie. Shauriyo, utapoteza wasikilizaji kwakuwa tu watakuwa wanasikia yale yale. Badilika Tingatinga!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

MKuu muda wa kampeni bado. Hawezi kwenda ndani anaogopa sheria asijeonekana anafanya kampeni. Subiri kipenga kipulizwe atasema hayo maneno matamu unayoyataka. Muda bado mkuu mvumilie tu kwa sasa.
 
Sasa unaelekea 'kuboa'. Unarudiarudia maneno yale yale kila mahali unapohutubu,kwanini? Badili hotuba. Badili maneno. Kuanzia ukumbini Dodoma; uwanjani Dodoma, Dar es Salaam na hata Zanzibar, umekuwa ukisema: 'Sitawaangusha,nitakuwa mtumishi wa wote'. Na jana pia umeyarudia maneno hayo hapa Lumumba. Kurudiarudia kunaonesha kufilisika. Usifike huko.

Nafahamu na nakufahamu kuwa una maneno mengi. Unaweza kubadili maneno na hata kuyaleta matamu kuliko hayo. Kama huo ni msemo wako sawa.

Lakini,badilikabadilika kimaneno ili uvutie. Shauriyo, utapoteza wasikilizaji kwakuwa tu watakuwa wanasikia yale yale. Badilika Tingatinga!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Unategemea mabadiliko kwa Magufuli? Akibadili basi itakuwa ni idadi ya samaki na Km za barabara
 
Sasa unaelekea 'kuboa'. Unarudiarudia maneno yale yale kila mahali unapohutubu,kwanini? Badili hotuba. Badili maneno. Kuanzia ukumbini Dodoma; uwanjani Dodoma, Dar es Salaam na hata Zanzibar, umekuwa ukisema: 'Sitawaangusha,nitakuwa mtumishi wa wote'. Na jana pia umeyarudia maneno hayo hapa Lumumba. Kurudiarudia kunaonesha kufilisika. Usifike huko.

Nafahamu na nakufahamu kuwa una maneno mengi. Unaweza kubadili maneno na hata kuyaleta matamu kuliko hayo. Kama huo ni msemo wako sawa.

Lakini,badilikabadilika kimaneno ili uvutie. Shauriyo, utapoteza wasikilizaji kwakuwa tu watakuwa wanasikia yale yale. Badilika Tingatinga!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Hahahaaaaa Lowasa wanamsema hivyo hivyo watu wa CCM kumbe Pombe nae yaleyale kweli nyani haoni kundule.
 
Magufuli ni kama ameokota kipande cha dhahabu ambacho hakukitarajia hivyo ni ngumu ku behave otherwise
 
Sasa unaelekea 'kuboa'. Unarudiarudia maneno yale yale kila mahali unapohutubu,kwanini?

Shoka ukiona linakata vizuri kuna haja ya kulibadilisha au kulinoa?
Anyway kampeni hazijaruhusiwa bado na tume ya uchaguzi subiri waruhusu uone mziki wa hotuba za magufuli
 
Tunataka vitendo. Hatutaki mtu wa tutoa ahadi 3,000 akatekeleza 100 tu. Tunataka utendsaji na sio maneno matamu ya kumtoa nyoka pangoni alafu utekelezaji sifuri.
 
Sasa unaelekea 'kuboa'. Unarudiarudia maneno yale yale kila mahali unapohutubu,kwanini? Badili hotuba. Badili maneno. Kuanzia ukumbini Dodoma; uwanjani Dodoma, Dar es Salaam na hata Zanzibar, umekuwa ukisema: 'Sitawaangusha,nitakuwa mtumishi wa wote'. Na jana pia umeyarudia maneno hayo hapa Lumumba. Kurudiarudia kunaonesha kufilisika. Usifike huko.

Nafahamu na nakufahamu kuwa una maneno mengi. Unaweza kubadili maneno na hata kuyaleta matamu kuliko hayo. Kama huo ni msemo wako sawa.

Lakini,badilikabadilika kimaneno ili uvutie. Shauriyo, utapoteza wasikilizaji kwakuwa tu watakuwa wanasikia yale yale. Badilika Tingatinga!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Tinga magufuli ni Nyapara sio meneja na political skills zake ni sifuri, he is too mechanical, he can not improvise anything on a political platform, yeye ni wa kukariri na kukaririshwa; period; You are in for a rough ride kampeni zikianza!! kuna wakati kiwenye kampeni zenu magambaz; Tinga akitoka nje ya script yake aliyoikariri au kukaririshwa; nina hakika hamtapenda baadhi ya vitu atakavyoongea! you bet!

Sentensi kama "wasioweza kulipia kivuko KIGAMBONI shilingi mia 4 wapige mbizi"??!! sio kauli za mwana siasa anayeomba kura hata kidogo; HUSUSANI ANYEJINASIBU KWAMBA ATAKUWA RAIS WA WATANZANIA WOTE!!
 
maneno matamu yafate kwa Diamond, Mh endeleeeA hvo hvo tunakuelewaaaa
 
Mwaka huu mnalo na limeng'ang'ania kwel kwel hamchomoi haki ya nan nawaambia
 
Sasa unaelekea 'kuboa'. Unarudiarudia maneno yale yale kila mahali unapohutubu,kwanini? Badili hotuba. Badili maneno. Kuanzia ukumbini Dodoma; uwanjani Dodoma, Dar es Salaam na hata Zanzibar, umekuwa ukisema: 'Sitawaangusha,nitakuwa mtumishi wa wote'. Na jana pia umeyarudia maneno hayo hapa Lumumba. Kurudiarudia kunaonesha kufilisika. Usifike huko.

Nafahamu na nakufahamu kuwa una maneno mengi. Unaweza kubadili maneno na hata kuyaleta matamu kuliko hayo. Kama huo ni msemo wako sawa.

Lakini,badilikabadilika kimaneno ili uvutie. Shauriyo, utapoteza wasikilizaji kwakuwa tu watakuwa wanasikia yale yale. Badilika Tingatinga!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Kati ya maneno wana ccm hawapo radhi kuisikia ni haya hawapendi kukosokewa .
 
Hili la kumtaja JK linaweza kuwa na athari kwake kwa sababu umaarufu wa JK umeshashuka sana. Washauri wapo. Watalifanyia kazi.
 
Back
Top Bottom