Monstgala
JF-Expert Member
- Aug 25, 2009
- 1,079
- 1,034
Kwa nini CDM na sio upinzani in general? nyie mnaharibu sana mahali hapa mkiwa na mawazo ya U-CDM, kwa nini kulazimishana? vyama viko vingi na vina sera tofauti, kama hazipendi sera za CDM lazima awe CDM?? muwe mnajaribu kufikiria out of the box???
Ona sasa unamsifia akiwa CCM! sio utamsifia akiwa TLP pia??
Hayo ni maoni yake kwamba angependa jamaa awe CDM! We toa yako yaliyo nje ya box.. lakini uwe wazi box gani NCCR? PPTA? Jahazi asilia?