Kwedu Kwazu
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 504
- 71
[h=3]
[/h]
Dr. Magufuli aendelea kuizika UKAWA Mwanza. Sasa Mwanza ni CCM 100%
Dr. Magufuli aendelea kuizika UKAWA Mwanza. Sasa Mwanza ni CCM 100%
UKAWA ni CHAGADEMA.Hakuna namna wazikwe tu, Chama gani cha kibaguzi kimeshindwa hata kwenda kumzika mwana ukawa mwenzao mzee Makaidi lakini alivyofariki mzee kisumo kwa kuwa wa kaskazini mwenzao wakapangana foleni kwenda kumzika lakini mzee Makaidi utadhani hakuwa mwenyekiti mwenza wa ukawa, hawa jamaa hawafai kupewa dola hata kidogo ni wakuogopwa kama ebola
Hakuna namna wazikwe tu, Chama gani cha kibaguzi kimeshindwa hata kwenda kumzika mwana ukawa mwenzao mzee Makaidi lakini alivyofariki mzee kisumo kwa kuwa wa kaskazini mwenzao wakapangana foleni kwenda kumzika lakini mzee Makaidi utadhani hakuwa mwenyekiti mwenza wa ukawa, hawa jamaa hawafai kupewa dola hata kidogo ni wakuogopwa kama ebola
Hakuna namna wazikwe tu, Chama gani cha kibaguzi kimeshindwa hata kwenda kumzika mwana ukawa mwenzao mzee Makaidi lakini alivyofariki mzee kisumo kwa kuwa wa kaskazini mwenzao wakapangana foleni kwenda kumzika lakini mzee Makaidi utadhani hakuwa mwenyekiti mwenza wa ukawa, hawa jamaa hawafai kupewa dola hata kidogo ni wakuogopwa kama ebola
Ccm out Oct 25
Magufuli kushinda huu uchaguzi ni miujiza..... Endeleeni kusomba watu tuone kama itaaasaidia