Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #81
Ni kweli vipo kwa mujibu wa sheria lakini hili la kuropoka na matusi ni ugonjwa wa ChademaMkuu unaonesha upeo wako mdogo wa kuchanganua mambo unaposema kuwa cdm wanaumwa ugonjwa was kuropoka na matusi.inapaswa ujue kuwa vyama vya upinzani vimekuwepo Si hiari ya chama tawala(CCM) na ili kuenda nao sambamba wapinzani wanatakiwa wawe nà lugha kali na ujasiri wa kutenda bila kuogopa. Kuna mwanafalsafa mmojà alisema" An. abnomal behavior in an abnomal situation is a normàl behavior"Wapinzani wapo vizuri kuliko unàvyofikiri.