Dr. Lwaitama apewe uenyekiti CHADEMA na kugombea Urais 2020

Mkuu unaonesha upeo wako mdogo wa kuchanganua mambo unaposema kuwa cdm wanaumwa ugonjwa was kuropoka na matusi.inapaswa ujue kuwa vyama vya upinzani vimekuwepo Si hiari ya chama tawala(CCM) na ili kuenda nao sambamba wapinzani wanatakiwa wawe nà lugha kali na ujasiri wa kutenda bila kuogopa. Kuna mwanafalsafa mmojà alisema" An. abnomal behavior in an abnomal situation is a normàl behavior"Wapinzani wapo vizuri kuliko unàvyofikiri.
 
Igwe wanaJF

Kutokana mambo yalivyo kwa sasa ni wazi Dr. Azavery Lwaitama anafaa kuwa mwenyekiti wa Chadema na apeperushe bendera ya uraisi Chadema mwaka 2020. Kwa hali ilivyo kwa sasa Dr. Lwaitama anafaa kwa vigezo vifuatavyo:

  1. Ni msomi ukilinganisha na makamanda waliopo kwa sasa.Chadema itaepuka mtihani wa ukaguzi wa vyeti na kwa sasa nchi inahitaji wasomi wazuri kama Lwaitama kwani katika mazungumzo yake anaonesha kuwa anaijua dhana ya maendeleo.
  2. Chadema hawahitaji kumsafisha bali watamnadi tu ikumbukwe kwa sasa ni ngumu kumpata mgombea asiye na makando ya ufisadi.
  3. Anatoka kanda ya ziwa.Dr.Lwaitama ni mwenyeji wa kanda ya ziwa.Chadema wanahitaji mtu wa kurudisha ushawishi kanda ya ziwa kama alivyofanikiwa Dr. Slaa.
  4. Atavunja makundi ndani ya chama. Chadema kwa sasa inaugonjwa mkubwa wa ukanda, ukabila, udini, usasa na uzamani. Namuona msomi Dr. Lwaitama akienda kuyatibu.
  5. Ugonjwa wa kuropoka na matusi, pengine Chadema kinashika nambari moja ulimwenguni kwa matusi na kuropoka bila kuwa na akiba ya maneno. Wengi waliowatukana sasa ndio wafalme wao.Hili ni pepo ambalo Dr. Lwaitama anatakiwa kulidhibiti.
  6. Dr. Lwaitama ni "CCM mfu" naam, Chadema inahitaji mtu aliyekulia CCM ili kuwafunda namna ambavyo chama cha siasa kinatakiwa kufanya kazi.Dr.Lwaitama anauwezo wa kutengeneza makada wa chama na sio "makamanda" sina shaka na hili kwani ni mwanafunzi mtiifu wa Mzee Mangula.
Kuna mengi ya kumuelezea Dr. Lwaitama lakini kwa uchache yaliyoorodheshwa ni baadhi ya sifa zake.Nakaribisha michango zaidi japo ninamaliza kwa kusema ili Chadema ipate huduma ya Dr. Lwaitama yapaswa alindwe uhai wake dhidi ya kundi la masultani ambao wao hupambana na yeyote anayeonekana kutaka kutwaa uenyekiti ndani ya Chadema.

Nawasilisha kwa unyenyekevu.

Usomi uliotukuka pekee siyo tiketi au kigezo cha mmoja kuwa Mgombea Urais. Kuna nchi nyingi tu zimepata Marais wasio Wasomi wa mifano ya akina Lwaitama lakini kwa kutanguliza mbele mambo mengine ya msingi na kushirikiana na kila Kundi la Wananchi waliopo katika nchi zao wameweza Kuongoza vyema hizo nchi na ziko ambazo pia zimetuacha Kimaendeleo / Kimafanikio.
 
Igwe wanaJF

Kutokana mambo yalivyo kwa sasa ni wazi Dr. Azavery Lwaitama anafaa kuwa mwenyekiti wa Chadema na apeperushe bendera ya uraisi Chadema mwaka 2020. Kwa hali ilivyo kwa sasa Dr. Lwaitama anafaa kwa vigezo vifuatavyo:

  1. Ni msomi ukilinganisha na makamanda waliopo kwa sasa.Chadema itaepuka mtihani wa ukaguzi wa vyeti na kwa sasa nchi inahitaji wasomi wazuri kama Lwaitama kwani katika mazungumzo yake anaonesha kuwa anaijua dhana ya maendeleo.
  2. Chadema hawahitaji kumsafisha bali watamnadi tu ikumbukwe kwa sasa ni ngumu kumpata mgombea asiye na makando ya ufisadi.
  3. Anatoka kanda ya ziwa.Dr.Lwaitama ni mwenyeji wa kanda ya ziwa.Chadema wanahitaji mtu wa kurudisha ushawishi kanda ya ziwa kama alivyofanikiwa Dr. Slaa.
  4. Atavunja makundi ndani ya chama. Chadema kwa sasa inaugonjwa mkubwa wa ukanda, ukabila, udini, usasa na uzamani. Namuona msomi Dr. Lwaitama akienda kuyatibu.
  5. Ugonjwa wa kuropoka na matusi, pengine Chadema kinashika nambari moja ulimwenguni kwa matusi na kuropoka bila kuwa na akiba ya maneno. Wengi waliowatukana sasa ndio wafalme wao.Hili ni pepo ambalo Dr. Lwaitama anatakiwa kulidhibiti.
  6. Dr. Lwaitama ni "CCM mfu" naam, Chadema inahitaji mtu aliyekulia CCM ili kuwafunda namna ambavyo chama cha siasa kinatakiwa kufanya kazi.Dr.Lwaitama anauwezo wa kutengeneza makada wa chama na sio "makamanda" sina shaka na hili kwani ni mwanafunzi mtiifu wa Mzee Mangula.
Kuna mengi ya kumuelezea Dr. Lwaitama lakini kwa uchache yaliyoorodheshwa ni baadhi ya sifa zake.Nakaribisha michango zaidi japo ninamaliza kwa kusema ili Chadema ipate huduma ya Dr. Lwaitama yapaswa alindwe uhai wake dhidi ya kundi la masultani ambao wao hupambana na yeyote anayeonekana kutaka kutwaa uenyekiti ndani ya Chadema.

Nawasilisha kwa unyenyekevu.
Dr. Lwaitama ni mwanaCCM mfu.
 
Huyu Mzee namjua tokea akiwa Mwalimu wangu wa somo Fulani chuo kikuu

nakimbuka siku moja mvua ilinyesha Kwa wingi tuko sehem , akavua viatu akakunja suruali akala mdogo mdogo , hahaha

Baadae nkaja kumkuta kagera chuo cha JOCUCo ambako nilienda Kwa shughuli maalumu

Anaweza akawa Rais Ila wa mioyo ya watu kama waliopita,

Ila lwaitama kachoka na mawazo yake nayajua mimi, naungana na Pascal Mayalla

Wafikilien
1. Mbatia
2. Mbowe mwenyewe
3. Zitto kabwe
4. Mnyika
5. Tundu lissu
Hahaha...we mzushi itakuwa tulisoma wote wewe
 
Alijiunga na Chadema kipindi cha kampeni mwaka 2015 Dodoma ni mwanachama halali wa Chadema japo ni mwana "CCM mfu"
Hata kama alijiunga na Chadema, bado sio size ya cMugufuli, namfahamu vizuri Prof. Lwaitama, he is the best just a barking dog only he doesn't bite. Magufuli anahitaji someone who can not only bark, but who can also bite so that he can get to feel the pich, so far kwenye opposition iliyopo, only two people can do that, ni Zitto na Lissu.

Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? ...Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!
P
 
Igwe wanaJF

Kutokana mambo yalivyo kwa sasa ni wazi Dr. Azavery Lwaitama anafaa kuwa mwenyekiti wa Chadema na apeperushe bendera ya uraisi Chadema mwaka 2020. Kwa hali ilivyo kwa sasa Dr. Lwaitama anafaa kwa vigezo vifuatavyo:

  1. Ni msomi ukilinganisha na makamanda waliopo kwa sasa.Chadema itaepuka mtihani wa ukaguzi wa vyeti na kwa sasa nchi inahitaji wasomi wazuri kama Lwaitama kwani katika mazungumzo yake anaonesha kuwa anaijua dhana ya maendeleo.
  2. Chadema hawahitaji kumsafisha bali watamnadi tu ikumbukwe kwa sasa ni ngumu kumpata mgombea asiye na makando ya ufisadi.
  3. Anatoka kanda ya ziwa.Dr.Lwaitama ni mwenyeji wa kanda ya ziwa.Chadema wanahitaji mtu wa kurudisha ushawishi kanda ya ziwa kama alivyofanikiwa Dr. Slaa.
  4. Atavunja makundi ndani ya chama. Chadema kwa sasa inaugonjwa mkubwa wa ukanda, ukabila, udini, usasa na uzamani. Namuona msomi Dr. Lwaitama akienda kuyatibu.
  5. Ugonjwa wa kuropoka na matusi, pengine Chadema kinashika nambari moja ulimwenguni kwa matusi na kuropoka bila kuwa na akiba ya maneno. Wengi waliowatukana sasa ndio wafalme wao.Hili ni pepo ambalo Dr. Lwaitama anatakiwa kulidhibiti.
  6. Dr. Lwaitama ni "CCM mfu" naam, Chadema inahitaji mtu aliyekulia CCM ili kuwafunda namna ambavyo chama cha siasa kinatakiwa kufanya kazi.Dr.Lwaitama anauwezo wa kutengeneza makada wa chama na sio "makamanda" sina shaka na hili kwani ni mwanafunzi mtiifu wa Mzee Mangula.
Kuna mengi ya kumuelezea Dr. Lwaitama lakini kwa uchache yaliyoorodheshwa ni baadhi ya sifa zake.Nakaribisha michango zaidi japo ninamaliza kwa kusema ili Chadema ipate huduma ya Dr. Lwaitama yapaswa alindwe uhai wake dhidi ya kundi la masultani ambao wao hupambana na yeyote anayeonekana kutaka kutwaa uenyekiti ndani ya Chadema.

Nawasilisha kwa unyenyekevu.
Akikubali atakuwa mjinga kweli kweli.Kujiingiza kwenye siasa,tena kwenye chama cha upinzani ni suicide.Naamini Rwaitama ana akili ya kutosha, hawezi kufanya such a grave mistake.Kwanza anajua possibility ya kushinda ni nil.
 
Hata kama alijiunga na Chadema, bado sio size ya cMugufuli, namfahamu vizuri Prof. Lwaitama, he is the best just a barking dog only he doesn't bite. Magufuli anahitaji someone who can not only bark, but who can also bite so that he can get to feel the pich, so far kwenye opposition iliyopo, only two people can do that, ni Zitto na Lissu.

Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? ...Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!
P
Ila Zitto naye simpi sifa siyo kivile Hana tofauti na Lwaitama
 
Hakika siasa hakika ni jambo la ajabu sana. Hapa huyo doc kukosoa utawala uliopo anasifiwa kama malaika, hadi kufikiriwa kugombea urais. Ngoja akosoe upinzani, au asifie utawala uliopo kama Doctor "Bansen Burner" utasikia ametumwa, mchumia tumbo huyo and blah blah kibao.
 
Naunga mkono hoja kuwa Chadema inahitaji mtu mwingine kumkabili Magufuli 2020, ila kwa kwa maoni yangu sio mtu wa type la Lwaitama, kwanza kwa sababu Lwaitama bado sio mwanachama wa Chadema.

Kwa vile tayari tumeishamjua mgombea wa CCM 2020, ni the seating president, ili opposition ilete impact 2020, lazima ilete mgombea ambaye ni Zaidi ya Magufuli, mtu kama Tundu Lissu ambaye ni Zaidi ya Magufuli ndio anaweza kusaidia, kama nilivyoshauri hapa
Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? ...Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

P.
 
Naunga mkono hoja kuwa Chadema inahitaji mtu mwingine kumkabili Magufuli 2020, ila kwa kwa maoni yangu sio mtu wa type la Lwaitama, kwanza kwa sababu Lwaitama bado sio mwanachama wa Chadema.

Kwa vile tayari tumeishamjua mgombea wa CCM 2020, ni the seating president, ili opposition ilete impact 2020, lazima ilete mgombea ambaye ni Zaidi ya Magufuli, mtu kama Tundu Lissu ambaye ni Zaidi ya Magufuli ndio anaweza kusaidia, kama nilivyoshauri hapa
Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? ...Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

P.
Huyu sawa kabisa. Na uzuri hata Magufuli na wapambe wake wote wanajuwa kuwa Lissu ni wa level ya juu kuliko wao.
 
Mtu sahihi ni lissu.ingawa nisingependa lissu agombee 2020.coz by hooks and cooks the incumbent must win
Hahaha incumbent akishawin inapunguza mori Kwa watu kumchagua Lissu tena Kwa mara yapili

Lakin pia naona kama utaratibu wa mwislamu na mkristo unakufa next term Nina uhakika uo maana makonda makonda makonda makonda narudia makonda
 
Igwe wanaJF

Kutokana mambo yalivyo kwa sasa ni wazi Dr. Azavery Lwaitama anafaa kuwa mwenyekiti wa Chadema na apeperushe bendera ya uraisi Chadema mwaka 2020. Kwa hali ilivyo kwa sasa Dr. Lwaitama anafaa kwa vigezo vifuatavyo:

  1. Ni msomi ukilinganisha na makamanda waliopo kwa sasa.Chadema itaepuka mtihani wa ukaguzi wa vyeti na kwa sasa nchi inahitaji wasomi wazuri kama Lwaitama kwani katika mazungumzo yake anaonesha kuwa anaijua dhana ya maendeleo.
  2. Chadema hawahitaji kumsafisha bali watamnadi tu ikumbukwe kwa sasa ni ngumu kumpata mgombea asiye na makando ya ufisadi.
  3. Anatoka kanda ya ziwa.Dr.Lwaitama ni mwenyeji wa kanda ya ziwa.Chadema wanahitaji mtu wa kurudisha ushawishi kanda ya ziwa kama alivyofanikiwa Dr. Slaa.
  4. Atavunja makundi ndani ya chama. Chadema kwa sasa inaugonjwa mkubwa wa ukanda, ukabila, udini, usasa na uzamani. Namuona msomi Dr. Lwaitama akienda kuyatibu.
  5. Ugonjwa wa kuropoka na matusi, pengine Chadema kinashika nambari moja ulimwenguni kwa matusi na kuropoka bila kuwa na akiba ya maneno. Wengi waliowatukana sasa ndio wafalme wao.Hili ni pepo ambalo Dr. Lwaitama anatakiwa kulidhibiti.
  6. Dr. Lwaitama ni "CCM mfu" naam, Chadema inahitaji mtu aliyekulia CCM ili kuwafunda namna ambavyo chama cha siasa kinatakiwa kufanya kazi.Dr.Lwaitama anauwezo wa kutengeneza makada wa chama na sio "makamanda" sina shaka na hili kwani ni mwanafunzi mtiifu wa Mzee Mangula.
Kuna mengi ya kumuelezea Dr. Lwaitama lakini kwa uchache yaliyoorodheshwa ni baadhi ya sifa zake.Nakaribisha michango zaidi japo ninamaliza kwa kusema ili Chadema ipate huduma ya Dr. Lwaitama yapaswa alindwe uhai wake dhidi ya kundi la masultani ambao wao hupambana na yeyote anayeonekana kutaka kutwaa uenyekiti ndani ya Chadema.

Nawasilisha kwa unyenyekevu.
Profesa kabudi na profesa lipumba ni wasomi pia mkuu! Tunafikiria MTU ambaye hana bei tupe muda tutakujibu
 
Back
Top Bottom