britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,648
- 30,013
Kwahiyo umeona kwamba huyu Hana sifa ya urais?Hilo tukio nilishuhudia
Kwahiyo umeona kwamba huyu Hana sifa ya urais?Hilo tukio nilishuhudia
Nje ya madaProfesa kabudi na profesa lipumba ni wasomi pia mkuu! Tunafikiria MTU ambaye hana bei tupe muda tutakujibu
TL anaenda ACT wazalendoPray 4 TL mzaelendo wa Moyo na Kweli.
Kitendo cha TL kugombea 2020 kwisha habari yakeHahaha incumbent akishawin inapunguza mori Kwa watu kumchagua Lissu tena Kwa mara yapili
Lakin pia naona kama utaratibu wa mwislamu na mkristo unakufa next term Nina uhakika uo maana makonda makonda makonda makonda narudia makonda
TL ni mwepesi kuliko karatasiHuyu sawa kabisa. Na uzuri hata makufuli na wapambe wake wote wanajuwa kuwa Lissu ni wa level ya juu kuliko wao.
Ha ha ha haSio kila mtu anayetoa mimacho na kuongea kwa jazba anatufaa kama RAIS! HEBU TUKOMAE KIDOGO WABONGO!
Jikite kwenye hahaWewe mdada bhnaaa
Mbona kipnd kile ulikuwa unasikikizw?
Au kisa ulienda vicvesa??
Mchawi mkuu ninyi mnaiangamiza Chadema kwa ushirikinaNaona umepata dozi mpyaa
Maana akili inaanza kukurejea
Jenga hojaNaona umeamua kuwafurahisha vilaza wenzio wa Lumumba, Chato, Kolomije na Magogoni!
Kuhusu uanachama wake sio hoja sana maana hata EL hakuwa mwanachama wa chadema mpaka takriban wiki mbili kabla hajawa mgombea wao. Tatizo Dr hana 'moto' inayotakiwa ili gia igeuzwe angani.Naunga mkono hoja kuwa Chadema inahitaji mtu mwingine kumkabili Magufuli 2020, ila kwa kwa maoni yangu sio mtu wa type la Lwaitama, kwanza kwa sababu Lwaitama bado sio mwanachama wa Chadema.
Kwa vile tayari tumeishamjua mgombea wa CCM 2020, ni the seating president, ili opposition ilete impact 2020, lazima ilete mgombea ambaye ni Zaidi ya Magufuli, mtu kama Tundu Lissu ambaye ni Zaidi ya Magufuli ndio anaweza kusaidia, kama nilivyoshauri hapa
Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? ...Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!
P.
Naam hao ndio "makamanda"Hakika siasa hakika ni jambo la ajabu sana. Hapa huyo doc kukosoa utawala uliopo anasifiwa kama malaika, hadi kufikiriwa kugombea urais. Ngoja akosoe upinzani, au asifie utawala uliopo kama Doctor "Bansen Burner" utasikia ametumwa, mchumia tumbo huyo and blah blah kibao.
Kumbe Lissu si sahihiMtu sahihi ni lissu.ingawa nisingependa lissu agombee 2020.coz by hooks and cooks the incumbent must win
Kwanini mkuuIla Zitto naye simpi sifa siyo kivile Hana tofauti na Lwaitama
Ni kamanda kindakindaki tangu 2015Akikubali atakuwa mjinga kweli kweli.Kujiingiza kwenye siasa,tena kwenye chama cha upinzani ni suicide.Naamini Rwaitama ana akili ya kutosha, hawezi kufanya such a grave mistake.Kwanza anajua possibility ya kushinda ni nil.
Sasa Tundu agombee kupitia chama gani? Wenye Chadema hawamkubali. Zitto kakimbiwa huku Chadema wakimuona msaliti. Labda Lissu akamilishe uamisho wake kwenda Act na pia Chadema asili wamfuateHata kama alijiunga na Chadema, bado sio size ya cMugufuli, namfahamu vizuri Prof. Lwaitama, he is the best just a barking dog only he doesn't bite. Magufuli anahitaji someone who can not only bark, but who can also bite so that he can get to feel the pich, so far kwenye opposition iliyopo, only two people can do that, ni Zitto na Lissu.
Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? ...Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!
P
Dawa haiwezi kukufurahisha kunywa ili uponeHuwa hauna hoja kila siku nasisitiza. Yaani ulete vihadithi vyako vya kutunga halafu unabembeleza vijadiliwe! Uwe hata unagezea kwa wenzio wenye nafuu aisee!
Mkuu kwa Chadema hii bora Dr. LwaitamaUpo sahihi P.
Lwaitama ni think tank ila bado hajawiva kuwa mgombea.Ni kama Dr Sengondo Mvungi alivyogombea urais kwa tiketi ya NCCR.
Unaumwa akili wewe, mwandishi uchwara. Yaani eti Lissu ni zaidi ya Magufuli! Seriously? Lissu hampati Magu hata kwa ncha ya kidole. Utamlinganishaje mtu wenye ukosefu wa adabu na mropokaji kwa mtu anaesimama kama Nyerere wa II?Naunga mkono hoja kuwa Chadema inahitaji mtu mwingine kumkabili Magufuli 2020, ila kwa kwa maoni yangu sio mtu wa type la Lwaitama, kwanza kwa sababu Lwaitama bado sio mwanachama wa Chadema.
Kwa vile tayari tumeishamjua mgombea wa CCM 2020, ni the seating president, ili opposition ilete impact 2020, lazima ilete mgombea ambaye ni Zaidi ya Magufuli, mtu kama Tundu Lissu ambaye ni Zaidi ya Magufuli ndio anaweza kusaidia, kama nilivyoshauri hapa
Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? ...Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!
P.
Dr. Lwaitama huenda akawa muarobaini ChademaUsomi uliotukuka pekee siyo tiketi au kigezo cha mmoja kuwa Mgombea Urais. Kuna nchi nyingi tu zimepata Marais wasio Wasomi wa mifano ya akina Lwaitama lakini kwa kutanguliza mbele mambo mengine ya msingi na kushirikiana na kila Kundi la Wananchi waliopo katika nchi zao wameweza Kuongoza vyema hizo nchi na ziko ambazo pia zimetuacha Kimaendeleo / Kimafanikio.
Mkuu kwa Chadema hii bora Dr. LwaitamaUpo sahihi P.
Lwaitama ni think tank ila bado hajawiva kuwa mgombea.Ni kama Dr Sengondo Mvungi alivyogombea urais kwa tiketi ya NCCR.