REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 947
Kwa siku ya leo ya Wanawake duniani,kama kuna kitu masikio ya wanawake
wa Tanzania tungetamani kukisikia ni kuwa Dr. Lucy Nkya amejiuzuru u-naibu
waziri,ili kuokoa maisha ya wanawake wenzio na watoto wanaokufa bila hatia.Ebu we mama
onyesha moyo wa kike,wanawake siku zote ni watu wa huruma.Maisha ya watanzania
ni ya thamani kuliko uwaziri mnaong'ang'ania.Hata wanaume wanaoumwa kumbuka
wanaopata shida ya kuuguza ni wanawake.Machozi na damu ya watanzania iko juu yako.
wa Tanzania tungetamani kukisikia ni kuwa Dr. Lucy Nkya amejiuzuru u-naibu
waziri,ili kuokoa maisha ya wanawake wenzio na watoto wanaokufa bila hatia.Ebu we mama
onyesha moyo wa kike,wanawake siku zote ni watu wa huruma.Maisha ya watanzania
ni ya thamani kuliko uwaziri mnaong'ang'ania.Hata wanaume wanaoumwa kumbuka
wanaopata shida ya kuuguza ni wanawake.Machozi na damu ya watanzania iko juu yako.