Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
Vipi tena kunielewa kidogo?.. kumbuka tu kwamba nakujibu wewe kama mwanamme..
Please! Im woman.
Samahani sana nadhani hukunielewa.. nasema hivi majibu yangu yanatoka upande wa wanaume yaani mimi kama mwanaume ndiko nakotoa majibu yangu..
...shida huanzia hapo, ...jumping into conclussions!