Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,732
- 6,631
huu ni mchambo!!
Omba radhi, yaani jamaa hajaolewa!!!?Nmeona,kama ulkua hujaolewa nilimaanisha ni doctor wa kusomea au doctor wa kujpachika tu
Anaitwa Issa Lupembe, ni mwanaharakati vile vile.Uyo ni Dr lick .Dr levy aliyeandika ni yule muimbaji na mchora katuni kwenye gazeti flani
Jamaa mwanaharakati kitambo,ata nyimbo alizoimba mistari yake ilikua iliyoshiba haswaAnaitwa Issa Lupembe, ni mwanaharakati vile vile.
Nitolee upupu wako...sio kila mtu ana team ka we mtu wa Dar. Maana ndo mlichobakiza.Team Wema mpaka huku mpoo
Jamaa mwanaharakati kitambo,ata nyimbo alizoimba mistari yake ilikua iliyoshiba haswa
Yuko Vizuri ,ukisikiliza nyimbo yake ile na Juma nature "kura yangu " mistari mizuri sana,nyimbo all Yoshi rink she a na afande Sele ,"uwanja mpya"na ile ya sugu na gweir ,"ringa"Aisee yule ndiye aliye andika hii essay " basi yupo vizuri upstairs " kambomoa kinoma noma .. safi sana
Daah umeongea bonge la point brother.... Big up.Ndyo maana Trump huwa anasema sisi watu weusi siyo binadamu kamili,kilizama kivuko cha MV Nyerere lkn suala hilo lilionekana kama ni jambo dogo sana,watumishi wa umma hawajapanda madaraja kwa zaidi ya miaka mnne lkn hakuna anayepaza sauti,wastaafu wapo mitaani na hawajalipwa fedha zao lkn hakuna anayelizungumzia suala hilo pia,ajira hakuna lkn watu wote wapo kimya ila haya yanayofanywa na Wema Sepetu na Amber Rutty pamoja na Amber Lulu juu ya miili yao ndyo yamekuwa mambo ya maana sana
Lazma tukubali kuwa sisi ndyo wenye matatzo kwenye vichwa vyetu na siyo hao akina Wema na Amber (Rutty na Lulu)
Kwani havuti mkuu? Sema zinakimbilia downthereA
Acha kuzalilisha mmea mtakatifu. Kila kitu bangi mnaisingizia bangi
Ninani baasi?hata kama so Dr.lkn bandiko lake limekaa kisomi zaid!Huyo sio Dr! Baasi