Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,027
- 14,880
Hizi ndiyo point...
Mitandaoni hasa insta ndiko ambako unakutana na
mrembo mzuri mpaka unaogopa. Amewiva na
maelezo yake mengi anatumia kiingereza. Kila siku
anatupia picha mpya, nywele mpya na nguo mpya. Na zaidi maeneo anayopigia picha ni tofauti tofauti na yote hayafanani na maisha ya Mtanzania wa kawaida.
Kadiri unavyomfuatilia kila siku kwenye ukurasa wake, ndivyo ambavyo na wewe unaanza kuishi kwa mawazo. Unajiona umechelewa maisha. Unahisi kutengwa na dunia. Unadhani pengine ni wewe tu unayekula ugali bamia nchi hii. Wanakutisha mpaka unatamani kushika bunduki 'ukamteke Mo' mwingine.
Mitandaoni hasa insta ndiko ambako unakutana na
mrembo mzuri mpaka unaogopa. Amewiva na
maelezo yake mengi anatumia kiingereza. Kila siku
anatupia picha mpya, nywele mpya na nguo mpya. Na zaidi maeneo anayopigia picha ni tofauti tofauti na yote hayafanani na maisha ya Mtanzania wa kawaida.
Kadiri unavyomfuatilia kila siku kwenye ukurasa wake, ndivyo ambavyo na wewe unaanza kuishi kwa mawazo. Unajiona umechelewa maisha. Unahisi kutengwa na dunia. Unadhani pengine ni wewe tu unayekula ugali bamia nchi hii. Wanakutisha mpaka unatamani kushika bunduki 'ukamteke Mo' mwingine.