CORAL
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 2,789
- 1,782
km alikuwa na nia hiyo alitakiwa anitafute nje hapo na pia km ni mstaarabu na anaheshimu kazi yake alitakiwa achukue mawasiliano yangu baadae anitafute kwa ufupi nimekerwa sana
Sasa nimekuelewa na ninakuunga mkono kabisa. Madaktari siku hizi wameishiwa na maadili ya kazi kabisa. Hawatofautishi kazi na starehe binafsi. Kimsingi wanatumia nafasi walizo nazo kujinufaisha kibinafsi. Nakumbuka miaka michache iliyopita kuna dada mmoja alipekeka mtoto wake mgonjwa hospitali ya Mwananyamala Dar. Ile kuonana na daktari ,jamaa anataka mzigo kabla hata mtoto hajatibiwa. Nilijiuliza kuwa hata angekuwa changudoa agewezaje kutoa mzigo wakati mtoto anaumwa na hajatibiwa na mama yake bado ana wasiwasi? Tatizo la mambo haya kuyapatia ushahidi ni vigumu na usitegemee ushirikiano kutoka kwa wafanyakazi wenzake hata kama wamejua hilo suala.I