fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Tupiganie haki zetu kabla mandela hajafa, the icon of humanity
bajeti hii ni nzuri sana na imekuwa mwiba kwa machadema ndo maana mnaweweseka
mkuu, kwanza uelewe kuwa kwa sasa hatuna nchi inaitwa tanganyika. hiyo inaonyesha ni kwa kiwango gani umemezeshwa tu maneno. pole sana
Kiongozi!
Kama mfumo ndio uko hivyo, waTanganyika tupo kwenye Jehanamu ya duniani. Hadi 2015 ifike tutakuwa tumesha unguzwa vya kutosha.
Maana kama waziri msomi wa kiasi hiki anaweza kusifia budget ambayo hata kabla hajaimaliza kuisoma, unaona jinsi inavyo mnyonga mTanganyika.
Lakini kwa ushabiki wa Kichama wa Wabunge wa CCM wanaipikia makofi kana kwamba neema imeshushwa Tanganyika.
Anyway, kwa vile budget hiyo imewaongezea zaidi maeneo ya kutumbua, ndio maana hawawajali waTanganyika.
kitima ni mnafiki na fedhuli mkubwa. yeye kazi yake ni kuangalia mabaya tu ya ccm bila ya kuyasemea yale mazuri. chadema wamemteka sana. anapita mule mule alimopita mbowe juzi. usomi wake na taaluma yake ameiweka pembeni na sasa amebaki ushabiki wa kisiasa tu.
toka lini makamu mkuu wa chuo cha kikatoliki akaisemea mazuri serikali ya ccm. kitima anatumika kama condom