Dr Kitila Mkumbo for CHADEMA Presidency!


Tuwaache wataalamu wetu huko waliko kwa maendeleo ya Taifa. Vipi Slaa lakini au tayari amekosa mwelekeo?
 

Kwani kaskazini kuna tatizo gani? crap!!!!
 
 
Penye red, nadhani umetereza kidogo. vinginevyo unaweza kuwa na mawazo mazuri tuu.
 
Kitila ni kijana mweledi na ana uwezo wa uongozi, ningemshauri afikirie ubunge kwanza, afanye kazi ya kutukuka watu wamjue na apate kuongoza kwenye chama kwa muda kwanza ili akomae....then anaweza fikiria au fikiriwa kwa la urais. Msimvimbishe mtani wangu kichwa akaharibu mapema bureee...

Nakumbuka kalivyokuwa kanagombea u-head prefect pale Pugu high school kalipiga kampeni mpka povu likajaa mdomoni...kalikuwa kadogoooo...he is good boy. Go mayo, go....
 
umeongea jambo jema ila huo ukaskazini na wapi sijui ndo ulipoharibu mambo. Sitaki kuamini una hasira na watu wanaotoka huko mahala. Hata hvyo the guy is an important asset
 
Dr.slaa awe m/kiti chadema taifa & dr.kitila kumbo awe katibu mkuu wa chadema na alipwe kama anavyolipwa dr.slaa kwa sasa,hivyo chadema itatisha nchi nzima.
 
Umetuletea thread mzuri lakini kwenye kuielezea ukaharibu. Ni ubaguzi kuzungumzia kumchagua mtu eti kwakuwa hajatoka kanda flani. Na hii inasababisha kudivert wachangiaji.

Simfahamu sana huyu Dr Mkumbo ila najua ni mwana cdm na ni mwana jf. Natumain atakuja kuchangia hapa.
 
Kitila ni mtu anayeheshimika katika jamii, sasa wewe unapompigia kampeni za kibaguzi sio jambo la busara.

sidhani kama ibange analenga ubaguzi katika hili. nilivyomuelewa ni kwamba, kama dk. kitila atagombea kwa tiketi ya gwanda, itakuwa ni faida kwa chadema kwani watakuwa wamepinga madai kuwa cdm ina ukasqazini. kwa mawazo yangu finyu!
 
Kuna wengine hapa tunachanganya concept, mi ninavyoelewa inazungumziwa uenyekiti wa chama na si kugombea urais wa JMT.

Kama bado tunabaguana kwa misingi yoyote ile, iwe ya kikabila, kidini, rangi n.k. inadhihirisha kuwa bado tuna umasikini wa akili, jambo ambalo ni baya kuliko umasikini wa fedha.
 
Mmeshaanza kusumbua vichwa. Huyo Slaa na Mbowe mliokuwa mnajisifia tayari wameshafikia expire date.
 
Jeikei aliandaliwa na nani?Waliomuandaa nadhani walikua VILAZA maana hatuoni anacho deliver kutoka kwa hao walio muandaa
 

Usichukie mkuu watu wanaongea kutokana na Uzoefu wa mawazo hasi yalokwisha jengeka kuhusu ukaskazini!
 

Sredi yote imekosa mantiki kwa kuleta ubaguzi wa kikanda!!!!
Hii inaonesha wivu juu ya watu wa kandaya kanda ya kaskazini but ukweli unabaki pale pale watu wa kanda ya kaskazini ni wachapakazi ndo sababu kwao kuna maendeleo!!!
 
CHADEMA has no presidency!!!!! it can only appoint Presidential candidates........tupunguze haraka kwenye kuandika.........THINK BEFORE YOU INK!!!!
 

Hivi kumbe baadhi ya mashabiki wa CHADEMA mna mawazo ya kikaburu kama haya? Tangu lini suala la mtu anapotoka likawa kigezo/sifa ya kuwa kiongozi wa chama?
 
Kwanza tufikirie mambo yanayotusibu na yatakayotusibu then tufikirie sifa mtu wa kufit hapo mwisho tufikirie mtu/watu wenye sifa hizo. La sivyo tutakuwa tunarudia makosa na tusitegemee mchakato mbovu utupatie rais mzuri haiendi hivyo hata kidogo.
 
Muda bado sana,hata hivyo Dr.Slaa bado ni kifaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…