Dr. Kitila amkana Dr. Slaa

Dr. Kitila amkana Dr. Slaa

Izi story ni uongo mtupu. Kuanzia ile ya Mkono mpaka hii. Kuna mtu ametunga na kuziweka mitandaoni kwa kujifanya ni kauli za wahusika. Anajaribu kuchochea kuni mbichi......
 
Mhadhiri wa Chuo kikuu na Mjumbe wa Kamati Kuu leo amekuwa sisimizi?
Gongo mbaya sana ndo nimeanza kuelewa.
Haya wewe Tembo unanafasi gani chadema na Tanzania?

umevuta bangi nini mbona macho yamekutoka hivi ?kitilya ni sisimizi tu...hakuna muadhiri wa chuo msaliti amejidharaulisha sana....
 
Kwahiyo Siku Ile Wamejifungia Mle Ndani Walibishaaaaaaaaana, Wakaona Wadanganye Tu!
 
Ha ha haaaa, hizi spinning ni noma, kama ni kweli CDM ni genge la wahuni sasa!
 
Kwanza yeye ni mwanachama wa CHADEMA mpaka aseme hivyo, amepanic doctor Kitila!
 
Ha ha haaaa, hizi spinning ni noma, kama ni kweli CDM ni genge la wahuni sasa!

genge la wahuni ni ccm hilo halikwepeki........chama cha masogange....chama chakavu ..chama cha majambazi.. wauza unga wauwaji matapeli wafraaji wabakaji ..wezi wa pembe.. walaghai..hili ndilo genge la wahuni.......
 
Wote Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba ni Virus ambavyo tayari vimekuwa Scanned and thrown into Quarrantine. We need to clean the Quarrantine as well to make sure that our Computer is Fully cleaned.
Nadhani mmenielewa maana walau kila mtu anajua namna ya kutoa kirusi kwenye computer..
 
dr slaa alianza uongo tangu akiwa kanisani hivyo siyo ajabu kusikia akiongopa maneno kama hayo.
 
kwani alihojiwa na Dr. Slaa au kamati?
Dr. Slaa ni msemaji tu, halafu aliyekiripotiwa zitto kukiri kuufahamu ule waraka ni Samson Mwigamba, siyo Dr. Kitila Mkumbo.
It seems amechanganyikiwa sana.
Kisaikolojia anateseka sana.

Mwigamba hajaojiwa na kamati ni Dk Kitila ndiye aliyehojiwa sasa hizi habari sijui umetoa wapi?
 
dr slaa alianza uongo tangu akiwa kanisani hivyo siyo ajabu kusikia akiongopa maneno kama hayo.

Utakuwa ulizaliwa kinyume na maumbile ndio maana kila siku unaandika bila kufikiri. Hivi huwezi kutumia akili yako hata kwa asilimia chache?
 
umevuta bangi nini mbona macho yamekutoka hivi ?kitilya ni sisimizi tu...hakuna muadhiri wa chuo msaliti amejidharaulisha sana....

Joyce Kiria kisha maliza discussion, wasaliti wakubwa ni Mbowe na Slaaa waliotelekeza familia zao na kwamba hicho ni kipimo cha namna ambavyo hawatajali shida na matatizo ya watanzania
 
Joyce Kiria kisha maliza discussion, wasaliti wakubwa ni Mbowe na Slaaa waliotelekeza familia zao na kwamba hicho ni kipimo cha namna ambavyo hawatajali shida na matatizo ya watanzania

Joyce Kiria ni mke wa kamanda Kileo na Kileo ni mtu wa Mbowe sasa huyu dada hakujua madhala ya kauli yake! Namuonea huruma
 
Tunaomba namba ta kadi yako na tawi lako na jina la mwenyekiti wa tawi lako ndiyo tuthibitishe kuwa wewe kweli ni mwanachadema, vinginevyo wewe ndiyo tuachie chama chetu.
Mbona wanachama hai wamezungumza ukweli,mnawaambia wamfuate Zito
 
Ningelikuwa ni Zitto, Kitila au Mwigamba muda kama huu ningelikaa kimya tu.

Unamtuhumu kuwa Slaa ni muongo wakati maamuzi yalifanywa na jopo la watu kadhaa na kusomwa na Slaa.

Ina maama maamuzi yale yangelisomwa na Mbowe kama utaratibu unavyohitaji, si ajabu leo hii Kitila angesema Mbowe ni muongo.

ni suala la muda tu
hata kina mwampamba na Juliana si walihangaika mwishowe kimyaaaa
 
Back
Top Bottom